IGP Sirro, iko wapi taarifa ya Uchunguzi wa OCD wa Hai aliyesema Mbowe hatashinda Uchaguzi?

IGP Sirro, iko wapi taarifa ya Uchunguzi wa OCD wa Hai aliyesema Mbowe hatashinda Uchaguzi?

Bobby

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2008
Posts
2,182
Reaction score
1,896
Inasemekana kwamba aliyekuwa OCD wa Hai kipindi cha Uchaguzi ndiye amekuwa RPC wa Kinondoni na ndiye aliyemwambia Mbowe juzi walipomkamata kwa kumdhalilisha kwamba safari hii hachomoi watampiga na kesi ya Ugaidi.

Kama hili ni kweli kamanda Sirro unawezaje kutuaminisha kwamba Jeshi la Polisi Tanzania si Jumuiya ya CCM kama UWT na zinginezo?

Uliahidi kufanya uchunguzi wa huyo OCD kwa kufanya siasa kwa kauli yake kwa Mbowe na ulikiri hadharani kwamba kama kweli kasema hivyo ni makosa kwani hiyo si kazi ya jeshi la Polisi. Hujatupa report ya uchunguzi uliotangaza hadharani badala yake umempa u-RPC mtuhumiwa.

Kwa haya yote plus ya jana kutuambia kwamba kuandamana ni kuvunja sheria bado unataka wananchi tuwe na imani kwako na jeshi la Polisi?

Hapana hatuwezi asilani mkuu.
 
Shida jeshi la polisi linaona linawajibika kwa serikali na chama tawala zaidi kuliko kutekeleza lengo kuu la polisi ambalo ni kulinda raia na mali zao
 
Hakuna cha kushangaza hapa,polisi ni tawi la chama dola ndio maana uongozi wake unateuliwa na mwenyekiti wa chama dola wakati ilitakiwa kuwa IGP wagombea wanahojiwa na sio kuteuliwa kisiasa.
 
Jeshi la polisi na siro Ni vibaraka wa CCM . Chadema inabidi waweke kapu moja wakati wa kudeal nao.
 
Inasemekana kwamba aliyekuwa OCD wa Hai kipindi cha Uchaguzi ndiye amekuwa RPC wa Kinondoni na ndiye aliyemwambia Mbowe juzi walipomkamata kwa kumdhalilisha kwamba safari hii hachomoi watampiga na kesi ya Ugaidi. Kama hili ni kweli kamanda Sirro unawezaje kutuaminisha kwamba jeshi la polisi Tanzania si jumuiya ya ccm kama UWT na zinginezo?

Uliahidi kufanya uchunguzi wa huyo OCD kufanya siasa kwa kauli yake kwa Mbowe. Hujatupa report ya uchunguzi uliotangaza hadharani badala yake umempa u-RPC mtuhumiwa. Kwa haya yote plus ya jana kutuambia kwamba kuandamana ni kuvunja sheria bado unataka wananchi tuwe na imani kwako na jeshi la Polisi? Hapana hatuwezi asilani mkuu.

On top of that alisema ndani ya siku saba atamtaja hadharani aliyejiunganishia bomba la mafuta hapa Dar. Lakini ni mwezi sasa hajatoa ripoti hiyo. Kuna tume iliundwa kuhusu suala la moto Kariakoo, PM alisema ndani ya siku 7 ripoti itakuwa hadharani, ila mpaka leo wako kimya. IGP yuko busy kubambikia wapinzani kesi!
 
Siro anatumika na Sukuma Gang kumsagia Mama kunguni kimtindo. Samia asipostuka huu mchezo mchafu anaochezewa atastuka ameshachafuka kiwango ambacho hasafishiki. Wao wanamuaminisha kuwa wanawashikisha adabu wapinzani.
 
Wakati anateuliwa kuwa IGP nilikua na imani na Sirro kwa uwelewa wake wa sheria na nidhamu ya shule za seminari katika historia yake. Lakini ameamua kutumikia system ili iendelee kubaki madarakani.
Linapokuja swala la maadili waseminari si watu wakuwaamini sana dada.
 
Inasemekana kwamba aliyekuwa OCD wa Hai kipindi cha Uchaguzi ndiye amekuwa RPC wa Kinondoni na ndiye aliyemwambia Mbowe juzi walipomkamata kwa kumdhalilisha kwamba safari hii hachomoi watampiga na kesi ya Ugaidi.

Kama hili ni kweli kamanda Sirro unawezaje kutuaminisha kwamba Jeshi la Polisi Tanzania si Jumuiya ya CCM kama UWT na zinginezo?

Uliahidi kufanya uchunguzi wa huyo OCD kwa kufanya siasa kwa kauli yake kwa Mbowe na ulikiri hadharani kwamba kama kweli kasema hivyo ni makosa kwani hiyo si kazi ya jeshi la Polisi. Hujatupa report ya uchunguzi uliotangaza hadharani badala yake umempa u-RPC mtuhumiwa.

Kwa haya yote plus ya jana kutuambia kwamba kuandamana ni kuvunja sheria bado unataka wananchi tuwe na imani kwako na jeshi la Polisi?

Hapana hatuwezi asilani mkuu.
Sisi wananchi tuna imani na IGP Sirro
 
Inasemekana kwamba aliyekuwa OCD wa Hai kipindi cha Uchaguzi ndiye amekuwa RPC wa Kinondoni na ndiye aliyemwambia Mbowe juzi walipomkamata kwa kumdhalilisha kwamba safari hii hachomoi watampiga na kesi ya Ugaidi.

Kama hili ni kweli kamanda Sirro unawezaje kutuaminisha kwamba Jeshi la Polisi Tanzania si Jumuiya ya CCM kama UWT na zinginezo?

Uliahidi kufanya uchunguzi wa huyo OCD kwa kufanya siasa kwa kauli yake kwa Mbowe na ulikiri hadharani kwamba kama kweli kasema hivyo ni makosa kwani hiyo si kazi ya jeshi la Polisi. Hujatupa report ya uchunguzi uliotangaza hadharani badala yake umempa u-RPC mtuhumiwa.

Kwa haya yote plus ya jana kutuambia kwamba kuandamana ni kuvunja sheria bado unataka wananchi tuwe na imani kwako na jeshi la Polisi?

Hapana hatuwezi asilani mkuu.
Siro mtoto WA mama ametoka kiabakari eneo la kwsnawake Tu. Atakapochinjwa polisi atapata akili
 
Back
Top Bottom