Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo
1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.
Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?
Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.
Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?
Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe