IGP Sirro itisha Press Conference ueleze haya nayo

IGP Sirro itisha Press Conference ueleze haya nayo

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo

1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.

Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?

Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
 
Kupigwa risasi Tundu Lissu in a broad daylight halafu tukashindwa kuwafahamu na kuwakamata hao assailants, jumlisha muendelezo wa danadana tulioukumbatia na tunaoukumbatia, ni kiwango cha juu kabisa cha ujinga na ushamba wetu kama taifa. Lissu ni hazina ya taifa iliyo hai licha ya kutofautiana naye kwenye mambo mengi.
 
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo
Moja, Wahusika waliomshambulia Lissu
Pili, Nani alimuua Alphonce Mawazo
Tatu, Nani aliyempoteza Ben Saanane
NNE, yuko wapi Azory Gwanda
Tano, kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
Sita, watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
Saba, Nani alimuua Akwilina
Nane, Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
Tisa, mnaweza kuongeza na mengine mengi.

Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?

Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
Sirro =0°
 
Umenikumbusha yule kamanda aliyeitisha press na kusema watu waliouawa ni majambazi kumbe ni wafanyabiashara wa madini.

Mbowe sio gaidi
Yule mwamba angekuwepo wakati huu ingekuwa sio powa. Angetajirika sana awamu hizi.maana unaporwa na unauliwa
 
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo

1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.

Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?

Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
Yakitolewa majibu popote tujulishana wajameni.
 
Omar Mahita:- alisema chama cha Cuf kimeleta majambia.
Said Mwema:-???[emoji848]
Sirro:- Mbowe gaidi


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Nchi hii haindelei kwasababu ya kuwa na viongozi viazi kawa hawa, mbaya kabisa unaapa kulinda watu na mali zao huku unakuja kuwabambikiza makesi na hata wakidai haki zao unatishia kuwavunja miguu.
 
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo

1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.

Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?

Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
Intelijensia hairuhusu kutolea ufafanuzi wa hayo hapo juu,kwa usalama wa vyombo pendwa
 
Nataka IGP Sirro ajitokeze atueleze Haya yafuatayo

1. Wahusika waliomshambulia Lissu
2. Nani alimuua Alphonce Mawazo
3. Nani aliyempoteza Ben Saanane
4. Yuko wapi Azory Gwanda
5. Kuna taarifa za watu kipindi kile kukutwa kwenye viroba (tukaambiwa ni wakimbizi)
6. watu mbalimbali waliopotea/potezwa jeshi la Polisi limefikia wapi uchunguzi wake?
7. Nani alimuua Akwilina
8. Nani alimtishia Pistol Nape Nnauye
9. Mnaweza kuongeza na mengine mengi.

Ajitokeze aseme hadharani waliomteka Mohammed Dewji na kwanini mtuhumiwa ameachiwa huru?

Tunasubiri atueleze kama alivyotueleza kuhusu Mbowe
Siro anapoteza akili kama igp hafai kabisa.
 
All in all Mungu Yupo na wabaya na wazuri wote watalipwa kwa kipimo kile kile walichopanda hapa duniani just a matter of time. Watu wamegeukia kwenye maslahi kuliko utu ubinadamu hamna tena.
 
Back
Top Bottom