IGP Sirro, Jinai huwa haifi! Kamata wote waliowahi kusema anayosema Askofu Gwajima

IGP Sirro, Jinai huwa haifi! Kamata wote waliowahi kusema anayosema Askofu Gwajima

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Tumsifu Yesu Kristu IGP Simon Sirro!

IGP Sikufundishi kazi lakini naona kama unalazimishwa kumkamata Askofu Gwajima! Kwa maneno ya Mh Spika jana pale Bungeni ni kama alikerekwa na kauli yako yakutaka barua toka Wizara ya Afya ikionyesha jinai iliyofanywa na Askofu Gwajima, Spika amekushangaa kuwa jinai huioni?

Sasa IGP mi nakushauri tu, kwa mujibu wa sheria Jinai huwa haifi, record zote zipo za ao wapinga chanjo awamu 5 mi nakushauri wote kamata kaweke korokoni huko!
 
Mimi mwenyewe napinga chanjo kwa nguvu zote. Kama umechanjwa subiri tu kufa,maana umechanjwa iliyopoteza ubora. Utunzaji wa chanjo hapa sivyo inavyotakiwa. Mwisho jiulize toka ifike, pamoja na kampeni zote,na propaganda zote, wamechanja watu laki 3 tu
 
Mimi mwenyewe napinga chanjo kwa nguvu zote. Kama umechanjwa subiri tu kufa,maana umechanjwa iliyopoteza ubora. Utunzaji wa chanjo hapa sivyo inavyotakiwa. Mwisho jiulize toka ifike,pamoja na kampeni zote,na propaganda zote,wamechanja watu laki 3 tu
Mimi hata sikuelewi!! Kwa hiyo ambao hawajachanjwa hawatamufa? "Akili ya kuambiwa ongeza na ya kwako" Au huna kabisa? Very Foolish contribution.
 
Kwa hiyo kukataa chanjo ndio Jinai? Hujajenga hoja ya kutufanya tujadili!!!

Hivi wee nchi hii kuanzia Ikulu watu wa usalama, Wanasheria wa Serikali, na Police unadhan kweli kabisaaaaa wamemuogopa Gwajima au unadhan kwamba hawajui kutafisiri ya Jinai hivyo wameshindwa badala yake ndugai ndo kawazidi akili?

Shida kubwa Ina anzia kwenye ripot ya raisi iliyo sema, kuchanjwa ni si lazma, sasa hapo ndo Gwajima anasema mm hapana...

Taasisi za kiusalama za nchi zilisha ona hakuna jinai, ndio maana Gwajima wanampotezea lakin si kwamba wanamuogopa au hawajui Kama ni Jinai.....

Na sasa sipika ndo kwanza alitakiwa kuitwa akahojiwe maana kauli zake za Jana dhidi ya serikali kutochukua hatua ni Kama nayeye kaudharirisha muhimili wa upande mwingine
 
Mimi mwenyewe napinga chanjo kwa nguvu zote. Kama umechanjwa subiri tu kufa,maana umechanjwa iliyopoteza ubora. Utunzaji wa chanjo hapa sivyo inavyotakiwa. Mwisho jiulize toka ifike, pamoja na kampeni zote,na propaganda zote, wamechanja watu laki 3 tu
Umekula?
 
Kwa hiyo kukataa chanjo ndio Jinai? Hujajenga hoja ya kutufanya tujadili!!!

Hivi wee nchi hii kuanzia Ikulu watu wa usalama, Wanasheria wa Serikali, na Police unadhan kweli kabisaaaaa wamemuogopa Gwajima au unadhan kwamba hawajui kutafisiri ya Jinai hivyo wameshindwa badala yake ndugai ndo kawazidi akili?..
Umemsikia spika jana? Umesoma kilichopo ndani? Au umesoma kichwa cha habari tu pekee?
 
Nimemsikia, kasema makosa ya Gwajima akiyarudia watamuita waziri wa mambo ya ndan...kwenye kamati. Swali namba moja, makosa ya Gwajima ni yapi? Si kukataa chanjo? Au

swali namba mbili logic ya kumuita waziri wa mambo ya ndan, maana yake kashindwa Kaz siyo?? Sasa huyo wazir yuko chini ya muhimili gan?
Umemsikia spika jana? Umesoma kilichopo ndani? Au umesoma kichwa cha habari tu pekee?
 
kwani kupinga chanjo ni jinai?
Chanjo yenyewe haina final approval unalazimisha kuchanja watu mwenye jinai ni nani hapo sasa? huyu anayelazimisha watu kuchanja chanjo iliyo kwenye majaribio/utafiti au anayekataa kufanywa panya wa majaribio.
 
Tumsifu Yesu Kristu IGP Simon Sirro!

IGP Sikufundishi kazi lakini naona kama unalazimishwa kumkamata Askofu Gwajima! Kwa maneno ya Mh Spika jana pale Bungeni ni kama alikerekwa na kauli yako yakutaka barua toka Wizara ya Afya ikionyesha jinai iliyofanywa na Askofu Gwajima, Spika amekushangaa kuwa jinai huioni?

Sasa IGP mi nakushauri tu, kwa mujibu wa sheria Jinai huwa haifi, record zote zipo za ao wapinga chanjo awamu 5 mi nakushauri wote kamata kaweke korokoni huko!


Chango ni hiari, mambo ya kukamatana sio sawa hata kama hakubaliani na msimamo wake. It ll create just more drama, publicity and sympathy kwa Gwajima.

Mwisho wa Siku watamwachia, itakuwa issue kama ya Mbowe. Haitaisadia serikali kwa namna yoyote ile.

Jerry Slaa, Polepole wanaonekana mashujaa sasa hivi, muhimu wapingwe kwa hoja. Nini wanaweka mwilini mwao waachie wao wenyewe.
 
Nyie watu acha upumbuvu. Hivi mumeshachanjwa chanjo ngapi na bado mnaeendlea kuwachanja waototo wenu? Watengenezaji ni haohao kama wakiitaji hicho walicho weka katika chanjo ya corona wateweka na kwenye chanjo ya ndui.
 
Chanjo yenyewe haina final approval unalazimisha kuchanja watu.......mwenye jinai ni nani hapo sasa? huyu anayelazimisha watu kuchanja chanjo iliyo kwenye majaribio/utafiti au anayekataa kufanywa panya wa majaribio...

mwenye jinai ni yule anaewalazimisha watu kuchanja chanjo iliyo kwenye majaribio
 
Kwa hiyo kukataa chanjo ndio Jinai? Hujajenga hoja ya kutufanya tujadili!!!

Hivi wee nchi hii kuanzia Ikulu watu wa usalama, Wanasheria wa Serikali, na Police unadhan kweli kabisaaaaa wamemuogopa Gwajima au unadhan kwamba hawajui kutafisiri ya Jinai hivyo wameshindwa badala yake ndugai ndo kawazidi akili...
Uko sahihi watu wa usalama wanaelewa vizuri kuwa hakuna jinai na hawamuogopi Gwajima,tatizo ni Ndugai kuwa ni bosi wa kila muhimili kuwaamulia la kufanya,yaani IGP amwamulie afanye lipi, Mwanasheria mkuu amwamulie afanye lipi,waziri afanye lipi.

Huyu mtu ni hatari Sana ni zaidi ya dikiteta,akiangaliwa hivyi rais atakuja kujuta huko tuendako.
 
Nimemsikia, kasema makosa ya Gwajima akiyarudia watamuita waziri wa mambo ya ndan...kwenye kamati. Swali namba moja, makosa ya Gwajima ni yapi? Si kukataa chanjo? Au

swali namba mbili logic ya kumuita waziri wa mambo ya ndan, maana yake kashindwa Kaz siyo?? Sasa huyo wazir yuko chini ya muhimili gan?
Unajua ile chanjo inaharibu afya ya akili
 
Kwa hiyo kukataa chanjo ndio Jinai? Hujajenga hoja ya kutufanya tujadili!!!

Hivi wee nchi hii kuanzia Ikulu watu wa usalama, Wanasheria wa Serikali, na Police unadhan kweli kabisaaaaa wamemuogopa Gwajima au unadhan kwamba hawajui kutafisiri ya Jinai hivyo wameshindwa badala yake ndugai ndo kawazidi akili?

Shida kubwa Ina anzia kwenye ripot ya raisi iliyo sema, kuchanjwa ni si lazma, sasa hapo ndo Gwajima anasema mm hapana...

Taasisi za kiusalama za nchi zilisha ona hakuna jinai, ndio maana Gwajima wanampotezea lakin si kwamba wanamuogopa au hawajui Kama ni Jinai.....

Na sasa sipika ndo kwanza alitakiwa kuitwa akahojiwe maana kauli zake za Jana dhidi ya serikali kutochukua hatua ni Kama nayeye kaudharirisha muhimili wa upande mwingine
Yeye anafanya check and balance sio kuidhalilisha serikali
 
Tumsifu Yesu Kristu IGP Simon Sirro!

IGP Sikufundishi kazi lakini naona kama unalazimishwa kumkamata Askofu Gwajima! Kwa maneno ya Mh Spika jana pale Bungeni ni kama alikerekwa na kauli yako yakutaka barua toka Wizara ya Afya ikionyesha jinai iliyofanywa na Askofu Gwajima, Spika amekushangaa kuwa jinai huioni?

Sasa IGP mi nakushauri tu, kwa mujibu wa sheria Jinai huwa haifi, record zote zipo za ao wapinga chanjo awamu 5 mi nakushauri wote kamata kaweke korokoni huko!
Niambie kifungu kipi Cha penal code amekivunja ?
 
Mimi mwenyewe napinga chanjo kwa nguvu zote. Kama umechanjwa subiri tu kufa,maana umechanjwa iliyopoteza ubora. Utunzaji wa chanjo hapa sivyo inavyotakiwa. Mwisho jiulize toka ifike, pamoja na kampeni zote,na propaganda zote, wamechanja watu laki 3 tu
Akili zako na askofu Rashidi zipo sawa kabisa tatzo lako hauna hela
 
Back
Top Bottom