Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Ni kweli Gwajima nampa big up sana kwenye hili swala. Kuhusu hela kawaulize wenzio. Mimi na Gwajima tunaweza kutofautiana hesabu tu,kama ilivyo kwa Mo hawezi kuwa sawa na Bakharesa.Akili zako na askofu Rashidi zipo sawa kabisa tatzo lako hauna hela