The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Naomba msaada yuotube haifunguki kulikoni!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wapiga kura wasikae kwenye kituo, lakini wanaruhusiwa kukaa mita 200 nje ya kituo. Ndiyo sheria. Tusiwalazimishe kwenda nyumbani kama hawataki, na wanataka kukaa hapo penye mita 200 nje ya kituo. Polisi wawaangalie, kama wako umbali usiopungua mita 200 wawaache!Piga kura yako rudi nyumbani, utaratibu wa mawakala unatosha kabisa kulinda kura za kila chama
Mungu ibariki Tanzania
Nilimaanisha waliokwishapiga kura wanaruhusiwa kukaa umbali usiopungua mita 200 kutoka kwenye kituo cha kupigia kura - kisheria!Ni kweli wapiga kura wasikae kwenye kituo, lakini wanaruhusiwa kukaa mita 200 nje ya kituo. Ndiyo sheria. Tusiwalazimishe kwenda nyumbani kama hawataki, na wanataka kukaa hapo penye mita 200 nje ya kituo. Polisi wawaangalie, kama wako umbali usiopungua mita 200 wawaache!
Naona unaandika script za igizo la kishujaa😂.Mwambie Sirro, tunapiga kura na kulinda kura zetu. Kulinda kura sio kufanya fujo na kama wanataka watuue wote. Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku moja. Imetosha kwa kweli!
Labda utakuwa unalinda kura hapa JFMwambie Sirro, tunapiga kura na kulinda kura zetu. Kulinda kura sio kufanya fujo na kama wanataka watuue wote. Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku moja. Imetosha kwa kweli!
Huhitaji Kumaliza la Saba Kujua Tunachosubiri kama Nchi ni kujia Magu anashibda kwa Asilimia ngapi... Maana ushibdi Haupingikii ulikuwepo Upo na Kesho unatimilizwa.Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi na kupiga kura kesho akiwashauri warudi nyumbani na kuendelea na shughuli zao....
Sirro ni muongo anajua watu wameuwawa na anajua idadi ya watu waliouwawa. Na sisi tunajua na tuna ushahidi kamili. Tutalipiza kisasi.Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro amesema watu 42 wamekatwa Zanzibar wakihusishwa na tuhuma za kuwashambulia polisi waliokuwa kwenye majukumu yao.
Hakuna vifo vilivyoripotiwa, amemaliza afande Sirro.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Simon Sirro amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi na kupiga kura kesho akiwashauri warudi nyumbani na kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa, baadhi ya viongozi wamekuwa wakihamasisha wapiga kura walinde kura, kitendo ambacho amesema ni dalili ya kufanya fujo.
Amesema kwa mujibu wa Sheria zilizowekwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wanaolinda kura ni Mawakala ambao kila Chama imepeleka.
Amesema, "Kuna Vyama vinajiona vimeshashindwa kwahiyo malengo na nia iliyopo ni kufanya fujo. Niwaombe sana Viongozi wa Siasa, wakati huu si wakati wa kufanya fujo"
Kuhusu Zanzibar, Sirro amesema karibu watu 42 wamekamatwa Pemba kwa madai ya kuwashambulia Polisi waliokuwa wakisambaza masanduku ya kura jana
Ameeleza kuwa, mpaka sasa hakuna taarifa ya vifo na hatarajii kuwe na vifo vyovyote, akisisitiza wasingependa Uchaguzi ambao unasababisha maisha ya watu kupotea
View attachment 1613634
Naomba kueleweshwa:-
Kazi ya Polisi ni KUSAMBAZA MASANDUKU YA KURA au KULINDA MASANDUKU YA KURA?
ITAFIKA MAHALI HATA BENKI , BADALA YA KULINDA, WATATAKA KUHAKIKI FOMU ZA KUCHUKUA au KUWEKA PESA KUTOKA KWA WATEJA WA MABENKI HAPA TANZANIA.
Unapotosha wenzako, kesho nasubilia picha ukiwa na wenzako mkilinda kuraMwambie Sirro, tunapiga kura na kulinda kura zetu. Kulinda kura sio kufanya fujo na kama wanataka watuue wote. Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku moja. Imetosha kwa kweli!