IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali upesi sana Kamateni 'Viongozi' wa Yanga SC na Coastal Union FC kwa 'Ukatili' huu uliofanyika leo Tanga

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali upesi sana Kamateni 'Viongozi' wa Yanga SC na Coastal Union FC kwa 'Ukatili' huu uliofanyika leo Tanga

Anaepaswa kukamatwa mara moja na wananchi na kubinywa chuchu ni hili fisadi linalohamasisha ufisadi kwenye serikali yake tena kupitia TV ya Taifa🤔🤔🤔
 
Kuna watu waliokotwa wameuliwa kwenye viroba fukweni, kuna watu walipigwa risasi mchana, masoko yanaungua moto, Nape alitolewa bastora mchana, etc na hakuna aliyekamatwa halafu leo mtu akamatwe kwasababu ya kidole? Be serious brother hii ni Africa [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Jina jipya na sasa wananiita Le Ange Adorable ( yaani Malaika Ninayeabudiwa )

Adorable Angel...!

Mimi ni mdau wa draft aka madanali, sasa siku hizi vijiwe vingi neno 'Popoma' limekuwa la kawaida kwa kumaanisha ni kilaza wa draft; aka turatura, pimbi, nk.

Kila nikilisikia neno hilo nakukumbuka mwanzilishi wa neno hili Mkuu wa Mapopoma Genta!

Wewe ni game changer, umetuongezea msamiati na unatumika sana sasa hivi kitaa.
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
YANGA itakuua kwa pressure mtani!!unaweweseka sana sana
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Umekuja na
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Umekuja na ujinga mwingine hapa, mtateseka Sana safari hii
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Coastal Union ndo zao.
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Unaandika vitu vya kipuuzi
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Umebaki muda mfupi utaokota makopo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hiki kijamaa tukijaribu kuruhusu fikra zake always tunaezafail in everything. Pumbafu
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
 
Waulizeni wale wazee walikuwa wanajitapa Kwa uchawi wa kosti watawapa majibu yote
 
Sasa Genta, wakamatwe viongozi wa hizo timu kwani wao ndio wamiliki wa uwanja?
 
Mtangazaji wa Clouds FM Privaldinho ( Privadinyo ) muda mfupi akiripoti ( katika Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM ) kutokea Tanga ulipo Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Coastal Union FC na Yanga SC amesema Waandishi wa Habari ( nae akiwemo ) kwa Masikitiko makubwa wamekuta Kidole Kimekatwa tena cha Mtu mzima kikiwa Kibichi kikiwa kimetupwa ndani ya Uwanja.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani tafadhali Upuuzi na Ukatili huu ukiachwa na Kuchelewa utaharibu Heshima yetu na Utu wa Mtanzania hivyo GENTAMYCINE nikiwa kama Mdau wa Michezo ( hasa Mpira wa Miguu ) naomba upesi sana Kamateni Viongozi wa Yanga SC na Coastal Union FC kisha muwahoji Kimedani ( Kimateso ) mpaka Waseme ni Mtanzania Mwenzetu gani huyo Kakatwa hicho Kidole na waliofanya hivi Wawajibishwe na ikiwezekana Wanyongwe na Kufa kabisa.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani kuna Klabu moja ( Kubwa tu hapa Tanzania ) binafsi kama GENTAMYCINE naijua ina rekodi ya Kuiba Maiti Mochwari kila ikikutana na mbabe Mwenzake kama Kutii na Kutekeleza Imani za Kishirikina ili ishinde / washinde.

Klabu hiyo hiyo nakumbuka mwaka Jana ilipocheza na Mkongwe Mwenzake na Kufunga Goli na Mchezaji wake wa Kiungo anayependa Kunyoa Upara / Dongo muda Wote ( kama GENTAMYCINE ) aliyetokea kwa Watani zangu Wahaya ( Mkoani Kagera ) Mmoja wa Kiongozi wao Mwandamizi alimwambia Rafiki yangu kuwa Waliroga kwa Mtindo wa Kukata Kiganja cha Mtoto na kuja nacho Uwanja wa Benjamin Mkapa na Kukifukia na kweli hiyo Mechi walishinda.

Lakini IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ni Klabu hii hii pia miaka ya 80 GENTAMYCINE nikiwa bado ni 'Toddler' niliambiwa ( nilisimuliwa ) kuwa kuna Siku iliwahi Kumfukia Mtu katika Mchanga wa Bahari kule Bagamoyo Maji yakiwa yamekupwaa ( yametoka ) ili Washinde na kweli Walishinda ila kwa bahati mbaya wakiwa Wanasheherekea Ushindi wao huo wakamsahau huyo Popoma ( Mpumbavu ) Mwenzao huyo waliyemfukia Nusu na walipokumbuka walimuwahi kwani alishaanza Kunywa Vikombe ( Maji ya Bahari ) kwani yalikuwa yanarudi na walipomtoa Mchangani alipofukiwa cha Kwanza kuomba kutaka Kunya ( Kuukweka ) baada ya hapo ndipo Kazi ya Kumtapisha Maji aliyoyabugia ilianza.

IGP Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani nadhani mpaka hapa na kwa hii Mifano yangu mitatu niliyo na uhakika nayo tayari mtakuwa mnaojua ni Klabu gani hasa kati ya hizi Mbili ndiyo inahusika moja kwa moja ( 100% ) hasa kwa Kumkata Mtu hicho Kidole na Kukitupa leo ndani ya Uwanja wa CCM Mkwakwani ambao Kesho unachezewa Mtanange ( Mchezo ) huo ambao nimetaarifiwa kuwa kwa jinsi Timu zote Mbili zilivyoroga kwa Kumfukuru Mwenyezi Mungu Kesho Majini tupu tu ndiyo yatakuwa yanacheza Mpira.

Nashukuru Simba SC haina Upuuzi huu.
Kwamba Siro hana kazi za maana za kufanya
 
Back
Top Bottom