Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Na kwao kulikua choka mbaya haswa...mama yake alikua kinara wa kuuza ya moshi.Muongo tu huyo. demu alienda kwao akakuta choka mbaya akampiga chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwao kulikua choka mbaya haswa...mama yake alikua kinara wa kuuza ya moshi.Muongo tu huyo. demu alienda kwao akakuta choka mbaya akampiga chini.
Tuliza mzuka ww filistiSiro bana. Kama mnavyokumbuka alivyokuwa mkuu wa polisi Dar akihojiwa star tv alikuwa anatamba anapata wakati mgumu kwa madem wanampigiaga simu hadi saa nane usiku wakimtaka
Nini wewee myebusiTuliza mzuka ww filisti
jikite kwenye mada kuu
Siyo dawa za kisukalWizara ya afya na jeshi la polisi tusaidieni kutupa jibu kwa Nini maduka mengi ya dawa mkoa wa Mara yanejaa dawa za vidonda
Nighobhene mura.ni yeye tu alikataliwa..wanaume wa kikurya ndo tumekua lulu mjini saiv.
bila shaka mpaka sasa bado ni choka mbaya.Muongo tu huyo. demu alienda kwao akakuta choka mbaya akampiga chini.
Acha unaaSiro bana,,,jf walimpiganiaga sana huyu siro awe igp,hivi kisharudisha shukrani kweli?