johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
IGP Sirro amefanya ukaguzi wa kushtukiza wilayani Kilindi ambako wananchi sita wameuawa katika mapigano kati ya Wakulima na wafugaji.
Sirro amesema alijisikua maumivu moyoni baada ya kuelezwa na wanafunzi kuwa wameshindwa kwenda shule wakihofia kuuliwa na wamasai.
IGP Sirro ameahidi kupeleka kikosi maalumu cha askari kutoka Tanga mjini na Morogoro ili wakaimarishe ulinzi wilayani hapo na askari waliokaa Kilindi kwa muda mrefu ameahidi kuondoka nao.
Aidha Sirro amewataka wote walioshiriki kufanya mauwaji ya watu hao 6 kujisali!isha mara moja.
Chanzo: Star TV
Sirro amesema alijisikua maumivu moyoni baada ya kuelezwa na wanafunzi kuwa wameshindwa kwenda shule wakihofia kuuliwa na wamasai.
IGP Sirro ameahidi kupeleka kikosi maalumu cha askari kutoka Tanga mjini na Morogoro ili wakaimarishe ulinzi wilayani hapo na askari waliokaa Kilindi kwa muda mrefu ameahidi kuondoka nao.
Aidha Sirro amewataka wote walioshiriki kufanya mauwaji ya watu hao 6 kujisali!isha mara moja.
Chanzo: Star TV