Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Mpuuzi yule..Si mlimuondoa bingwa wa kutatua migogoro ya ardhi, Mh. Lukuvi
Acha mvua iendelee kunyesha sasa
Mama aliona mbali....
Alikuwa anataka kuwakomoa watanzania wanaoishi nje, wakati nchi hairuhusu uraia pacha...
Akafie mbali...na Mama mara vuuuu... kashakopa vya kutosha................... Uraia pacha huoooooo.......