IGP Sirro: Nitawashtaki Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Wazembe kwa Wakurugenzi ili wabadilishwe

IGP Sirro: Nitawashtaki Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Wazembe kwa Wakurugenzi ili wabadilishwe

Anamwambia nani sasa? Yeye si alisimamia upatokanaji wa hao wazembe?
 
Labda alimaanisha mtendaji wa wa kata?

Wenyeviti tunawapigia Kura ..wanaondolewaje?Na mkurugenzi alieteuliwa?..

Sirro ana akili huyu??
Kama wabunge na madiwani wamewekwa na Wakurugenzi vipi wenyeviti?
 
Awashitaki wana CCM wenzie? wayamalize kwenye vikao vya chama
Ako..baligheherii...roho zinawauma sana chademaa...hamtakaa muongozee hii nchi mana mmejaa chukii chukii chukii mnooo...ww tutaendelea kukutana tu pale maisaka..kwaraaa..ila nchi hapana hatuwapiii
 
Wenyeviti wa Serikali za mitaa hawalipwi na Serikali,Wanajitolea kuwasaidia wananchi,unawawajibisha vipi?
 
Ako..baligheherii...roho zinawauma sana chademaa...hamtakaa muongozee hii nchi mana mmejaa chukii chukii chukii mnooo...ww tutaendelea kukutana tu pale maisaka..kwaraaa..ila nchi hapana hatuwapiii
Nchi unaigawa wewe? Nenda na wewe ukaongoze Zanzibar tuone
 
Mzee awape gwanda nao wajione mapongo vinginevyo hana jipya
 
Huyu ni mjinga mwingine baada ya Polepole, Kabudi and the like, hivi anajua hao wenyeviti wanapatikanaje! Hivi kama sisi tumeamua kuwa ma Mwenyekiti mzembe, yeye atatuondolea ili iweje?
IGP Sirro yupo sawa 100% , hakuna Mwenyekiti wa kijiji, Diwani wala mbunge aliyeingia ofisini bila kubebwa na Mkurugenzi wa eneo husika au mmesahau mwendazake alivyowahi kutoa tahadhali hiyo?
 
IGP Sirro yupo sawa 100% , hakuna Mwenyekiti wa kijiji, Diwani wala mbunge aliyeingia ofisini bila kubebwa na Mkurugenzi wa eneo husika au mmesahau mwendazake alivyowahi kutoa tahadhali hiyo?
Hata akienda kuwashitaki kwa hao wakurugenzi wataweza kuchukua hata zozote dhidi yao?
 
ukitakaa kumiliki Siraha ni lazima upite serikali ya mtaa? nawaza kwa hawa wenyeviti ukipewa mtaa mzima utajua kuna wengine hawana vifua. unaweza kumsikia kiongozi anawaambia wananchi sasa mjipange ameomba kumiliki bunduki.
 
Kwani wenyeviti ni wateuliwa? Si walipigiwa kura?
Anajua walivyopatikana kwa hiyo anajua pia jinsi ya kuwatoa. Kama walupatukana kiharamu watatolewa kiharamu na kinyume chake.
 
IGP Sirro amesema atawashtaki kwa wakurugenzi wa halmashauri wenyeviti wazembe wa serikali za mitaa ili ikiwezekana waondolewe na nafasi zao kujazwa na watu wengine.

Sirro amesema wenyeviti wa serikali za mitaa wanapaswa kusimamia ulinzi katika maeneo yao na kwamba hapa Tanzania askari mmoja anahudumia watu 2000 jambo ambalo ni gumu.

Kimataifa askari mmoja anapaswa kuhudumia watu 450 amesema Sirro.

Source : ITV habari

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nakubaliana na IGP Sirro.
yupo sahihi kabisa kwani ulinzi unaanzia kwa wenyeviti wa serikali za mitaaa, wanao wajibu wa kuhakikisha raia wanao ishi ktk mitaa yao, wajibu wa kutengeneza mikakati ya ulinzi ktk mitaa yao, wajibu wa kuwabaini majambazi na wauza madawa ya kulevya amabao wapo tunaishi nao ktk mitaa yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom