IGP Sirro toa ufafanuzi kuhusu chuo cha Usalama Majini

IGP Sirro toa ufafanuzi kuhusu chuo cha Usalama Majini

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Jumatatu taarifa ya habari ITV saa mbili usiku ulionekana ukitushawishi wananchi tupate mafunzo kwenye chuo nilichokitaja kinachotoa mafunzo ya uokoaji wa raia majini, pamoja na mafunzo ulitueleza kuwa ada ni nafuu.

Pamoja na ada kuwa nafuu bado ni vizuri utueleze kama sheria za nchi zinaruhusu jeshi la polisi kufanya biashara juu ya usalama wa raia.

Ni wazi watakaopata mafunzo ujuzi watautumia kuokoa wananchi wenzao bila tozo, jeshi la polisi kutoza ada linataka na wahitimu nao wawatoze ada watakaowaoko.

Ninakumbuka miaka iliyopita tulitangaziwa kuwa serikali haitafanya biashara.
 
Kazi u IGP amemshinda sasa mpiga debe wa chuo....si aombe apumzike?? Mimi amenitoka hutu z.e.r.o basi tuu weledi hakuna tena wala moral authority hakuna
 
Kazi u IGP smemshinda sasa mpiga debe wa chuo....si aombe apumzike?? Mimi amenitoka hutu z.e.r.o basi tuu weledi hakuna tena wala moral authority hakuna
Chuo hicho ni cha Polisi lakini hapohapo serikali haitakiwi kufanya biashara, kila kitu kitakachotumika na chuo ikiwa pamoja na mishahara imelipiwa au imenunuliwa na wananchi na hatuhitaji tupate faida ya pesa, hivyo faida ya nini?
 
Jumatatu taarifa ya habari ITV saa mbili usiku ulionekana ukitushawishi wananchi tupate mafunzo kwenye chuo nilichokitaja kinachotoa mafunzo ya uokoaji wa raia majini, pamoja na mafunzo ulitueleza kuwa ada ni nafuu.

Pamoja na ada kuwa nafuu bado ni vizuri utueleze kama sheria za nchi zinaruhusu jeshi la polisi kufanya biashara juu ya usalama wa raia.

Ni wazi watakaopata mafunzo ujuzi watautumia kuokoa wananchi wenzao bila tozo, jeshi la polisi kutoza ada linataka na wahitimu nao wawatoze ada watakaowaoko.

Ninakumbuka miaka iliyopita tulitangaziwa kuwa serikali haitafanya biashara.
Kwani Siro anamiaka mingapi? Inawezekana tunamwonea tu tatizo lake likawa ni umri
 
Haudhani kuwa linaweza kuwa kosa la jinai kuuliza umri wa IGP ambaye ameteuliwa na Rais.
Haliwezi kuwa kosa kwa sababu ni wazi kuwa umri mkubwa unakuwa na changamoto nyingi.

Inawezekana IGP naye ameelemewa na majukumu na kwa sababu ya umri tunamlaumu kwa maoni/matendo yake bila kujua sababu

Hata Trump na Biden kuna watu wanashuku uwezo wao wa kuongoza kutokana na umri wao mkubwa
 
Wangekua na kikosi maalumu cha uokoaji wa majini na moto wanataalamu watoke huko na wawe na chopa ya kukimbilia majanga haraka kwa kuokoa na si kutupigia mbiu tukajifunze kama nyenzo bora wao wenyewe hawana tutabaki kufundishana kwa maandishi tu bila vitendo..
 
Back
Top Bottom