Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Ndio viwango ya utekelezaji wa mambo muhimu, kama sii kupigia chapuo mawazo ya kundi fulani.Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki?
Kama polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri?
Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu pekee unachoweza kujifunza kule ni namna serikali inavyoua wapinzani wa PK ndani na nje ya nchi. Ni upuuzi kwenda kule 'kujifunza'.
Sasa hivi ni vituko kabisa, polisi wenye akili hawawezi kufanya uchunguzi kijinga kiasi hiki.
Halafu anaongea bila aibu kuwa amejifunza hayo mambo nchini Rwanda!😁Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki?
Kama polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri?
Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu pekee unachoweza kujifunza kule ni namna serikali inavyoua wapinzani wa PK ndani na nje ya nchi. Ni upuuzi kwenda kule 'kujifunza'.
Asije tembelewa na wajifichao tu😆.japo ujumbe muruaKipanya Kaua Mbaya
Ni maajabu kwakweli, of all places, Rwanda?Halafu anaongea bila aibu kuwa amejifunza hayo mambo nchini Rwanda!😁
Hawa wa zamani hawa ni tia maji tia maji, kama kumbukumbu zangu ziko sawa IGP msomi alikuwa Saidi Mwema.Hivi ana elimu ya kiwango gani bwana aijiipii?
Kipanya anajua kufikisha ujumbeKipanya Kaua Mbaya
Hapo Temeke Wanasema AmemtoboaKipanya anajua kufikisha ujumbe
Ujumbe Kama Alkasus~MujarabuAsije tembelewa na wajifichao tu😆.japo ujumbe murua
Kamesoma ila kanajitoa ufahamu tuHivi ana elimu ya kiwango gani bwana aijiipii?
Waziri wa mambo ya ndani kivuli wa Chadema anafaa kuwa IGP, Na tunaamini atakuwa mzuri sana.Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki?
Kama polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri?
Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu pekee unachoweza kujifunza kule ni namna serikali inavyoua wapinzani wa PK ndani na nje ya nchi. Ni upuuzi kwenda kule 'kujifunza'.
He should go, it's time.Kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa polisi wataanza kukagua shule za dini zaidi ya kuleta taharuki na kuzalisha chuki?
Kama polisi inadhani kuna matatizo huko kwenye shule za dini, je mbinu sahihi haikuwa kuchunguza kimyakimya na kwa siri?
Alafu bila aibu anasema eti amejifunza Rwanda! Kitu pekee unachoweza kujifunza kule ni namna serikali inavyoua wapinzani wa PK ndani na nje ya nchi. Ni upuuzi kwenda kule 'kujifunza'.
Walishamtembelea once.Asije tembelewa na wajifichao tu😆.japo ujumbe murua
Wengi wanafikiria Siro ni mwanasheria, lakini siyo kweli. Form 5 & 6 alisoma EGM Tosamagamga. Chuo Kikuu UDSM aligraduate BCom.Hivi ana elimu ya kiwango gani bwana aijiipii?