zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Wakuu salama,
Kumeibuka wimbi la watoto wadogo miaka 15-17 kwa Dar wakiitwa panya road huku katavi wamekuwa na vikundi vya vijana hao (damu chafu, mazombi, watoto wa kaburi moja, fulldoz, avengers, changanyikeni), wakishirikiana na baadhi ya polisi wasio waaminifu kufanya vitendo vya kipuuzi mtaani
Zaidi ya miezi mi 5 Hali ya usalama mitaa ya katavi haiko vyema, polisi wanaofanya doria wamekuwa na kawaida ya kukaa vijiwe vya pombe badala ya kuzunguka kuimarisha usalama wa raia
Watoto hawa wakipigwa ama kukamatwa na raia polisi wamekuwa wakiiwaachia na kurudi uraiani kuendeleza vurugu
IGP sirro ondoa wote wanaohusika na ulinzi na usalama katavi wameshindwa kazi maana vikundi hivi vimekuwa vikifanya matukio mchana kweupe wakiwa na silaha za jadi
Kumeibuka wimbi la watoto wadogo miaka 15-17 kwa Dar wakiitwa panya road huku katavi wamekuwa na vikundi vya vijana hao (damu chafu, mazombi, watoto wa kaburi moja, fulldoz, avengers, changanyikeni), wakishirikiana na baadhi ya polisi wasio waaminifu kufanya vitendo vya kipuuzi mtaani
Zaidi ya miezi mi 5 Hali ya usalama mitaa ya katavi haiko vyema, polisi wanaofanya doria wamekuwa na kawaida ya kukaa vijiwe vya pombe badala ya kuzunguka kuimarisha usalama wa raia
Watoto hawa wakipigwa ama kukamatwa na raia polisi wamekuwa wakiiwaachia na kurudi uraiani kuendeleza vurugu
IGP sirro ondoa wote wanaohusika na ulinzi na usalama katavi wameshindwa kazi maana vikundi hivi vimekuwa vikifanya matukio mchana kweupe wakiwa na silaha za jadi