IGP vunja Kitengo cha Cybercrime kabla Rais Samia hajakutumbua

IGP vunja Kitengo cha Cybercrime kabla Rais Samia hajakutumbua

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Hawa matapeli wa kopa faster ni hujuma au mpo nao na maisha nao?

Je, nikitengo ndani ya jeshi la polisi?

Kama sio je mnawafahamu? Mliwahi kuwasikia?

Nimeuliza kwa kuwa licha ya Watanzania kulia sana na kutapeliwa na hawa watu hakuna hatua nyie kama polisi mliwahi kuchukua au kuwakamata na kuja kuwatangaza.

Wanatumia picha za Mh Rais Samia Suluhu Hassan, makamo wa rais, DC joketi, mama Salma Kikwete, Tulia aksoni mke wa rais wa Zanzibar na baadhi ya Watanzania wenye ushawishi mkubwa hapa nchi miaka sasa nyie polisi mpo tu.

Utapeli wa kimtandao upo kila nchi na nyie mnakitengo cha kupambana na huu utapeli huu.

USSR

FB_IMG_1676871652661.jpg
 
Mimi huwa najiuliza kila mara,hivi kweli pamoja na kusajili namba zetu kwa alama za vidole hawa matapeli wa tumapesa kwe namba hii bado hawakamatwi tu na kukoma,Polisi kweli hawayajui haya na namna ya kudhibiti? Ona sasa hwa tena mpaka wana Whatsapp namba kabisa la kupiga pesa na Polisi wapo tu
 
Hata kama wakipewa mitambo wanaihujumu wao.

Pesa za kuendesha kazi wanameza saa ngapi watafuatilia?

Mataifa yanapambana kulinda mali za walipa kodi na wananchi wao ila sisi hakuna

Matukio yanatangazwa ila outcome ni zero
 
Mimi huwa najiuliza kila mara,hivi kweli pamoja na kusajili namba zetu kwa alama za vidole hawa matapeli wa tumapesa kwe namba hii bado hawakamatwi tu na kukoma,Polisi kweli hawayajui haya na namna ya kudhibiti? Ona sasa hwa tena mpaka wana Whatsapp namba kabisa la kupiga pesa na Polisi wapo tu
Ndio nimeuliza kama polisi hawahusiki nani anahusika na hawa matapeli

USSR
 
Siku hizi nchi inafunguliwa mpaka na matapeli.
Tangu afunguliwe BEDUI NDULI SINGASINGA WA PESA ZA LUMBESA BASI WAHUNI WOTE SA100 AMEWAFUNGUA KUANZIA PANYA RODI , MAJAMBAZI ,MAJANGILI YA BWANA MKUBWA ROSTAM NA KINANA, WAUZA NGAGA CHINI YA MZEE WA MSOGA (THE CHEGOVARA)
 
Hawa jamaa ukitukana mamlaka unadakwa faster ila mambo mengine hawahangaiki
 
Wanatumia picha za Mh Rais Samia Suluhu Hassan,makamo wa rais, DC joketi,mama Salma Kikwete, Tulia aksoni mke wa rais wa Zanzibar na baadhi ya watanzania wenye ushawishi mkubwa hapa nchi miaka sasa nyie polisi mpo tu .
Bila shaka hawa ndiyo wanye hiyo kopa fasta. Wasingekuwa wamiliki wangeshachukua hatua.

Jaribu utoe tangazo lenye kuwakashifu hao uone kama masaa 24 yanaweza kuisha hujachukuliwa hatua kali pamoja na chombo kilichorusha hiyo kashifa.

Ukiona wako kimya ujue wanakijua na ni chao.
 
Mimi huwa najiuliza kila mara,hivi kweli pamoja na kusajili namba zetu kwa alama za vidole hawa matapeli wa tumapesa kwe namba hii bado hawakamatwi tu na kukoma,Polisi kweli hawayajui haya na namna ya kudhibiti? Ona sasa hwa tena mpaka wana Whatsapp namba kabisa la kupiga pesa na Polisi wapo tu
Polisi wetu hawana taaluma ya IT professional, cybersecurity and forensic science,wana ukanjanja kanjanja tu wa kutumia baadhi ya app. kwa hiyo hawawezi kushindana na wataalam wa IT walio graduate na wako tu kitaa hawana kazi, na hili kundi hyo ndo kazi yao
 
Kopa fasta Wana uhusiano na polisi ndio maana hawana muda wa kuchukua hatua.
 
Mimi huwa najiuliza kila mara,hivi kweli pamoja na kusajili namba zetu kwa alama za vidole hawa matapeli wa tumapesa kwe namba hii bado hawakamatwi tu na kukoma,Polisi kweli hawayajui haya na namna ya kudhibiti? Ona sasa hwa tena mpaka wana Whatsapp namba kabisa la kupiga pesa na Polisi wapo tu
Wengi wao ni wajuzi wa it,moja polisi walifuatilia kwa it wakakuta jamaa wapo kigamboni porini
 
Polisi wetu hawana taaluma ya IT professional, cybersecurity and forensic science,wana ukanjanja kanjanja tu wa kutumia baadhi ya app. kwa hiyo hawawezi kushindana na wataalam wa IT walio graduate na wako tu kitaa hawana kazi, na hili kundi hyo ndo kazi yao
Yeah,jamaa wako vizuri sana kwa IT,Kuna kesi polisi waliona wamejua walipo,kuwafuatilia wakaenda porini pasipo makazi
 
Wakati Wa Mzilankende Ungesikia Mtu Katumbuliwa Na Usaha Mwingi Sana
 
Utaambiwa gari la kufanyia dolia mtandaoni limeishiwa mafuta ya kutoka Urusi
 
Sasa kama polis wanajichotea Hela bilion of money kwenye mfuko wa polisi wa kusaidiana watawezaje kuwakamata kopafasta!
 
Back
Top Bottom