Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Asili yangu mkoa wa Kati, jamii ya Wakikuyu ila mzawa wa bonde la Ufa....japo huwa najivunia Ukenya wangu na kusheherekea tofauti zetu, asili zetu na utangamano wetu kama Wakenya.
I'll advice your nation not to get in this trap of entering Mozambique. This is the same trap All shaabab did with Kenya, they were abducting and killing people at the boarder alafu wanakimbia Somalia which is their battling ground. The day Kenya step their foot in Somalia is the day everything changed, Remember Somalia and Mozambique are the same in terms of laws, they are both anarchy.
Kwa hiyo Watanzania waendelee kuuwawa tu sio boss halafu hatufanyi chochote ?I'll advice your nation not to get in this trap of entering Mozambique. This is the same trap All shaabab did with Kenya, they were abducting and killing people at the boarder alafu wanakimbia Somalia which is their battling ground. The day Kenya step their foot in Somalia is the day everything changed, Remember Somalia and Mozambique are the same in terms of laws, they are both anarchy.
Bila Shaka mtoa post utakua na ww ni polisi , Nia yako unataka kurudisha imani kwa wananchi kua jeshi letu lipo imara , ndio Mana upo kishabikiIGP Sirro wa Tanzania amemuita haraka IGP wa Mozambique na kufika Mtwara jana na kuzungumza kuhusu mauaji ya wakulima 9 wa kitanzania waliokua Mozambique kwa shughuli za kilimo kisha kuuawa na kundi la kigaidi
IGP Sirro ametaka ufunguzi wa mpaka kati ya Tanzania na Mozambique kijeshi, hivyo sasa Tanzania itaingiza jeshi lake la police kwenda Mozambique kuwasaka hao wahuni, jeshi shupavu la police la Tanzania tayari lilishatuma majasusi wake Mozambique undercover na hivi sasa tayari wamo Mozambique kuanza show.
Itakumbukwa hawa wauaji ndio wale waliokua kwenye mapango ya amboni kule Tanga na Kibiti huko Pwani, waliuwawa kama kuku na jeshi shupavu na hodari la police, sasa wabaki kuvizia Watanzania waishio nchini Mozambique ili kulipa kisasi, Tanzania Police Force halitawaacha salama kamwe.
This is an ideological war kwanza tafuteni Muslim clerics wanao fanya radicalization .na wanao fund activities zao .Kumbuka wanapigana jihad kwa hivyo kifo kwao si issue.Undercovers wa polisi nawakubali sana kwa 'Upele' TISS wakasome.
Baada ya siku mtarejea hapa kuthibitisha juu ya huu ukweli, hawa wajomba ni noma then kile kikosi maalumu ndio kinaenda kuwamaliza hao manyang'au.
POLICE TZ[emoji123][emoji123]
Mbona ninyi mlishindwa kuwatafuta badala yake mlijipeleka Somalia kwenda kuchinjwa?. Hawawezi ingia Tanzania, wanajua kwamba Tanzania sio Kenya, kwamba unaweza kuingia na kufanya mashambulizi Westgate na ukatoka na kuondoka.This is an ideological war kwanza tafuteni Muslim clerics wanao fanya radicalization .na wanao fund activities zao .Kumbuka wanapigana jihad kwa hivyo kifo kwao si issue.
imani kwa jeshi la polisi sio hisani kwao,unaweza acha tu kuwaamini na kazi zikaendelea kama kawaida.Bila Shaka mtoa post utakua na ww ni polisi , Nia yako unataka kurudisha imani kwa wananchi kua jeshi letu lipo imara , ndio Mana upo kishabiki
IGP Sirro wa Tanzania amemuita haraka IGP wa Mozambique na kufika Mtwara jana na kuzungumza kuhusu mauaji ya wakulima 9 wa kitanzania waliokua Mozambique kwa shughuli za kilimo kisha kuuawa na kundi la kigaidi
IGP Sirro ametaka ufunguzi wa mpaka kati ya Tanzania na Mozambique kijeshi, hivyo sasa Tanzania itaingiza jeshi lake la police kwenda Mozambique kuwasaka hao wahuni, jeshi shupavu la police la Tanzania tayari lilishatuma majasusi wake Mozambique undercover na hivi sasa tayari wamo Mozambique kuanza show.
Itakumbukwa hawa wauaji ndio wale waliokua kwenye mapango ya amboni kule Tanga na Kibiti huko Pwani, waliuwawa kama kuku na jeshi shupavu na hodari la police, sasa wabaki kuvizia Watanzania waishio nchini Mozambique ili kulipa kisasi, Tanzania Police Force halitawaacha salama kamwe.
Except the militants in Mozambique are mostly radicalized Tanzanian muslims. Hilo ata serikali ya Mozambique wameshasema.I'll advice your nation not to get in this trap of entering Mozambique. This is the same trap All shaabab did with Kenya, they were abducting and killing people at the boarder alafu wanakimbia Somalia which is their battling ground. The day Kenya step their foot in Somalia is the day everything changed, Remember Somalia and Mozambique are the same in terms of laws, they are both anarchy.
Kwahiyo taarifa ilisema watanzania walioko Msumbiji watavamiwa, sivyo?. Umepata wapi viroba?, huku vilishapigwa marufuku kitambo sana.Acheni tanlalila.
Taarifa za kuvamiwa na hawa magaidi mlishapewa na mlishambiwa mpaka sehemu zote watakazokuwa hawa wakuda.
Eti tegemeo lenu kwenye vita dhidi ya ugaidi ni huyu IGP wenu Sirro ambaye hata hajui tofauti kati ya picha ya cameraman na ile ya CCTV. Poleni majirani. [emoji1]