IGP wa Zambia aliwaonya wapinzani kuhusu kuandamana mwaka 2019, leo kiongozi wao ni Rais Mteule

SOPINTO

Senior Member
Joined
Oct 19, 2020
Posts
155
Reaction score
387
IGP wa Polisi Nchini Zambia Afande Kakoma Kanganja (Pichani) tarehe 25.11-2019 aliwaonya wanachama wa Chama cha Upinzani nchini Zambia( UPND) kuwa Wakijaribu Kuandamana polisi wake WATAWAKUNG'UTA sawasawa pamoja na kiongozi wao Hakainde Hichilema ambae rasmi ni Rais Mteule Zambia.

HII IMEKAAJE SASA

 
Huyo anafaa maana kazi yake ni kulinda serikali iliyo madarakani
 
usimdharau mtu yoyote. regardless yuko namna gani. hujui kesho yake atakuwa nani
 
Kama alikuwa anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria ni sawa kabisa. Kibaya ni kutotenda haki
 
Kama Sirro yaani !
 

Salamu hizi zimfikie afande sirro kokote kule aliko
 
Siro Kama Siro kwenye ubora wake[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…