IGP Wambura, nakushauri mtafutieni kazi nyingine ya kufanya RPC Mbeya, amenikwaza sana

IGP Wambura, nakushauri mtafutieni kazi nyingine ya kufanya RPC Mbeya, amenikwaza sana

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimesikiliza kwa umakini Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa. Asante babanMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe. Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na CHADEMA kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi. Hatukubali hatukubali. Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa. We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.

PIA SOMA

- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
 
Hivi watu kukusanyika na kuandama ndio kuanzisha vurugu?

Unasema eti watu wanaona miundombinu, kilimo n.k vinakua kwahiyo "mabeberu" wanatuchonganisha, hivi unalijua hili kuwa mkoloni alijenga reli, hospitali , mifumo ya maji safi na taka , na alipangilia miji kuliko hata sasa?

Nenda utafute mpango mji wa Mzizima kipindi cha ukoloni na sasa ilivyo utaelewa maana yake!

Mwisho tu yaani mzungu aonee wivu nchi ambayo mwanafunzi anakaa chini ila mwalimu analazimishwa kuchangia 50k ya mwenge?
 
Smart phone iko mikononi mwa kichaa ambaye anatakiwa awe mirembe.Ila sishangai kipindi ki Mwalim Nyerere wanapigania uhuru kuna masnich kama ww kibao.Nyie ndo zikiruhusiwa ndoa za jinsia moja mnaolewa fasta
 
Nimesikiliza kwa umakini sana porojo za Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa, asante babaMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe.Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na Chadema kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi.Hatukubali hatukubali.Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa.We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.
Uzi bora wa karne huu
 
Nimesikiliza kwa umakini Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa. Asante babanMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe. Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na CHADEMA kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi. Hatukubali hatukubali. Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa. We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Sasa yeye amefanya nini kama sikulipaka tu taifa matope. CDM ni chama cha Siasa kama kinakwenda Wrong kinaadhibiwa kwa Mujibu wa taratibu na sheria tulizo jiwekea. Kwani ni mara Ngapi vyama vya siasa wanachama na viongozi wake wanapigwa na kuwekwa ndani lakini vyama hivyo vinaendelea na shughuli za kisiasi. Kuna POLISI wengine wana Akili na weledi wa kazi zao, hawapelekeshwi na miemko ya wanasiasa, wanajua wanafanya nini. intelegensia ya RPC ilikuwa inajua kabisa ili swala ni lakisiasa na hawa watu hawena madhara yoyote kwa mstakabali ya mkoa wa mbeya tena zaidi ya yote ni kukuza maswala ya kiuchumi kwa mkoa huo. kwani watu hao zaidi ya mia tano wangenunua michele maharage, gest zote zigejaa wageni, mama ntilie wangeuza vyakula kwahiyo mji wa mbeya ungeongeza mapato mengi sana na serkali ingefaidi. MaRPC kama hao wenye Akili ndiyo wanafaa kukaa kwenye miji hiyo yenye uchumi mzuri ilikuwasaidia wananchi mimi nampongeza RPC wa mbeya n nakuhakikishia Mungu atazidi kumbariki.
 
Nimesikiliza kwa umakini Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa. Asante babanMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe. Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na CHADEMA kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi. Hatukubali hatukubali. Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa. We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Asante kwa mawazo yako ndugu
 
Nimesikiliza kwa umakini Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa. Asante babanMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe. Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na CHADEMA kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi. Hatukubali hatukubali. Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa. We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Wewe yafaauingie kwenye kundi na kuwekewa vikwazo kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na uhuru wa kujiaelza sawa na unaowasifia.Isipokuwa huyo alietumia busara ya kutovunja sheria.
 
Nimesikiliza kwa umakini Mbowe, Lissu na Mnyika kuwa wamepigwa sana na Jeshi la Polisi.Mbowe amedai kuwa hawataenda kuripoti katika vituo vya Polisi kwa madai kuwa ni kesi hewa. Asante babanMbowe, Lissu na Mnyika wameeleza katika madai yao kuwa CP Awadhi Haji alimfokea RPC wa Mbeya kwa kuwalea lea akina Lissu hadi akaingia kazini mwenyewe. Nimesikitishwa sana na kitendo kilichofanywa na RPC Mbeya kushindwa kuwajibika na kutekeleza maelekezo ya kiongozi wake.

Mbeya ni sehemu ambayo inategemewa sana na CHADEMA kuanzisha vuguvugu, sasa ukiwa kamanda muoga muoga basi wewe hufai kuwa sehemu ya serikali.

Hiki kipindi cha kuelekea kwenye chaguzi tunahitaji makamanda wa Polisi wa mikoa na wilaya wenye uzalendo wa kweli, wanaojua nini maana ya maadui wa usalama wa Taifa, wanaotii serikali bila kulazimishwa, wanaojua kuwa kulinda nchi sio kazi ya lelemama.RPC Mbeya umenikwaza sana.Nakushauri IGP Wambura makamanda waoga waoga kama RPC wa Mbeya weka pembeni na uteue Kamanda mwingine ambaye ataweza kuufanya mji wa Mbeya utulie.

Kama sio CP mwenyewe kwenda Mbeya basi RPC alishakwishashindwa kutekeleza majukumu yake na Bavicha wangefanya wanayoweza kufanya.

IGP Wambura nakuomba sana huu ndio wakati sasa wa kulinda usalama wa nchi, fanya tathmini ya makamanda wako kama wana msaada kwako, njia pekee ya kupata utendaji kazi sahihi wa Makamanda wako wa mikoa na wilaya ni kuwauliza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, wao wanajua utendaji kazi wa Makamanda wao.Pata tathmini kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya ili upangue uanze moja, huko tuendako kwa hali ninavyoiona ni ngumu.

Zipo nchi zinapenda kuona tukifarakana, nchi hizo zinafurahi kuona Chadema wakitukana viongozi na kutaka kuharibu amani na utulivu ndani ya nchi. Hatukubali hatukubali. Hawa Chadema mpango wao sio kushika dola wala nini, mpango wao ni kumkwamisha Rais Samia asijenge uchumi wa nchi.

Wameona miradi katika mashule, miundombinu ya barabara, mawasiliano, afya, kilimo, mifugo nk, sasa wana nini cha kusema zaidi ya kutafuta jambo ili waonekane wameonewa. We Mbowe unalalamika wakati hata kibao hujapigwa, We Mbowe hebu muogope Mungu wewe baba, wewe unaweza kutamba kweli umeteswa kuliko Professa Lipumba?

Wakati Lipumba anafanya haya unayoyanya wewe ss hivi alikumbana na balaa sio la kawaida, Lipumba hadi leo mkono wake mbovu, Lipumba ana makovu kibao mwilini, wewe hata shati hujachaniwa unalalamika kila siku kwenye media.We Mbowe acha hizo bwana.

Mwisho, unawadanganya wenzako wasiripoti kwenye vituo vya Polisi, unajua madhara yake, wasipoenda halafu wakakamatwa kwenye mawilaya yao utaenda kuwasaidia? Mbona unawafanya watu wajinga wengi baba.

Sasa nyie mlioambiwa msiende kuripoti akili za kuambiwa changanyeni na za kwenu.Ole wenu msiende.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA
Hivi kweli nimetembea baadhi ya nchi duniani sijaona kitu Tanzania kipo chakufanya mzungu apatamani hapa kwetu tuna nini cha maana chakuonewa wivu na hao mnaowaita wakoloni kwanza wakati wa kuligawa bara la Afrika Tanganyika hakuna aliye itaka kwanza walichagua kule kuzuri kwanza hapa pakabaki sasa kipi tulichonacho duniani hakuna? Hivi kuna mzungu atatamani mkoa wa Dodoma singida tabora Shinyanga kwa lipi? Sisi tujadili yakwetu bila kutupia lawama wazungu tunapovurunda tujitadhimini wenyewe
 
Nonsensical alafu waraka mrefu, mtu mzima hovyo pyeeeee
 
TISHU ziko mezani hapo chukua jifute sitaki unawe sawa kuanza upya hapana
 
Back
Top Bottom