IGP Wambura ni kweli jeshi lako limeshindwa kuwakamata hawa watu kwa Utapeli na udhalilishaji wanaoufanya kwa Watanzania?

IGP Wambura ni kweli jeshi lako limeshindwa kuwakamata hawa watu kwa Utapeli na udhalilishaji wanaoufanya kwa Watanzania?

Small letter

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2024
Posts
280
Reaction score
177
IMG-20240610-WA0102.jpg


Afande IGP Wambura, Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni ,taratibu na tamaduni mbalimbali zilizopo.

Iweje Leo watu waamue tu kuwaibia Watanzania wenzao na ninyi mliopewa dhamana ya ulinzi wao na mali zao mkae kimya?

Mfano, hawa wanajiita Mkopo Fasta walimpigia simu ndugu yangu wakamshawishi akope TZS 50,000 atalipa TZS 57,000 kwa wiki moja.

Alipoapply ule mkopo wakamkata elfu 16 wakampatia 34,000 tu.

Leo wametuma meseji kwangu na kwa watu wote walio kwenye simu yake kuwa wanamdai 153,000 na wanañitaka Mimi nimpigie simu ili awalipe ili hali namba yake wanayo.

Nikawauliza wakati huyo anakopa mlinipigia kutaka concern yangu kama rafiki au ndugu yake kama mnavyofanya Leo?

Nikawauliza pia kama wao wanafahamu gharama ya kumdhalilisha mtu mitandaoni kama wanavyofanya kwani kukopa ni Siri kati ya Mkopa na Mkopesha.

Ombi langu kwako Afande IGP.

Kwakuwa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba alishakiri kuwa BOT haijawahi kutoa leseni kwa hawa watu na wanachokifanya ni Wizi,Utapeli na Udhalishaji tu kwa raia,

Tafadhali Kamata hawa watu na wafikisheni mahakamani kwa mujibu wa Sheria ili wakasajili hizo Biashara zao na wafanye Biashara kwa Misingi ya Kisheria huku wakithamini faragha na utu wa watu.

Why umpatie mtu TZS 34,000 uje umdai TZS 153,000 tena kwa kumdhalilisha kwa Kila mtu.

HIVI TANZANIA TUNAKWENDA WAPI?​
 
Kuna inayoitwa Tulia Foundation!

Mtu huyu ni kiongozi mkubwa anayeongoza mhimili wa Bunge, lakini ajabu jina lake linatumika kutapeli wananchi?

Hovyo kabisa
 
Channel ndefuuu mkuu m nishaendaaa hadi BoT unahisi hawaoni ukitaka kujua wahun wana line zaidi ya 50 ukiblck wanakuja huku ukiblck wako kule.
 
UKITAKA KUENJOY NENDA NAO SAWA MPAKA 500 UKIFIKA WANAKUPA LAK 9 PITA NAO NENDA NYINGNE
 
WAMAMA WANACHAFUKA.MBAYA

M MAJUZI NILIKUTA NAINGIZwa grp la whatsup ati kusaidiaaa kulipaa deni la classmate kisa ana namba yangu niliwatukanaaaa hawatanisahau wakalifuta
 
View attachment 3013793

Afande IGP Wambura, Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni ,taratibu na tamaduni mbalimbali zilizopo.

Iweje Leo watu waamue tu kuwaibia Watanzania wenzao na ninyi mliopewa dhamana ya ulinzi wao na mali zao mkae kimya?

Mfano, hawa wanajiita Mkopo Fasta walimpigia simu ndugu yangu wakamshawishi akope TZS 50,000 atalipa TZS 57,000 kwa wiki moja.

Alipoapply ule mkopo wakamkata elfu 16 wakampatia 34,000 tu.

Leo wametuma meseji kwangu na kwa watu wote walio kwenye simu yake kuwa wanamdai 153,000 na wanañitaka Mimi nimpigie simu ili awalipe ili hali namba yake wanayo.

Nikawauliza wakati huyo anakopa mlinipigia kutaka concern yangu kama rafiki au ndugu yake kama mnavyofanya Leo?

Nikawauliza pia kama wao wanafahamu gharama ya kumdhalilisha mtu mitandaoni kama wanavyofanya kwani kukopa ni Siri kati ya Mkopa na Mkopesha.

Ombi langu kwako Afande IGP.

Kwakuwa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba alishakiri kuwa BOT haijawahi kutoa leseni kwa hawa watu na wanachokifanya ni Wizi,Utapeli na Udhalishaji tu kwa raia,

Tafadhali Kamata hawa watu na wafikisheni mahakamani kwa mujibu wa Sheria ili wakasajili hizo Biashara zao na wafanye Biashara kwa Misingi ya Kisheria huku wakithamini faragha na utu wa watu.

Why umpatie mtu TZS 34,000 uje umdai TZS 153,000 tena kwa kumdhalilisha kwa Kila mtu.

HIVI TANZANIA TUNAKWENDA WAPI?​
Acha kujiliza liza kutafuta huruma ya hapa JF. Eti ndugu yako alipigiwa simu kubembelezwa akope!!! What a shame, kaa chini na ndugu na familia yako waeleze DUNIA YA SASA NI YA KIBEPARI hakuna kitu cha bure au dezo dezo. Kabla ya kupokea chochote afikirie na kujiridhisha mara nyingi awezavyo athari za anachopokea. Otherwise ujinga wa ndugu yako kutozingatia vigezo na masharti ya alichopokea siyo excuse wala huruma kwake kutochukuliwa hatua. Angeona hiyo elfu 34 ni ndogo angeirejesha basi.
Dawa ya Deni ni kulipa na ZINGATIA KUKOPA KWA SABABU MAALUM.
 
HAWA HAWANA TOFAUTI NA KIBOKO WA WACHAWI UHUNI MTUPU
 
Hivi ukiamua kuipuudhia hiyo msg utapungukiwa na kitu?
Ila ki ukweli dawa ya deni ni kulipa.
Hivi kumbe hii mikopo ya mitandaoni ni kweli nilikuwa naona kama ni utapeli.
Embu nitumieni app za ukweli zinazokopesha niwe nakopa kwa namba yangu flani ambayo siitumiagi
 
View attachment 3013793

Afande IGP Wambura, Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni ,taratibu na tamaduni mbalimbali zilizopo.

Iweje Leo watu waamue tu kuwaibia Watanzania wenzao na ninyi mliopewa dhamana ya ulinzi wao na mali zao mkae kimya?

Mfano, hawa wanajiita Mkopo Fasta walimpigia simu ndugu yangu wakamshawishi akope TZS 50,000 atalipa TZS 57,000 kwa wiki moja.

Alipoapply ule mkopo wakamkata elfu 16 wakampatia 34,000 tu.

Leo wametuma meseji kwangu na kwa watu wote walio kwenye simu yake kuwa wanamdai 153,000 na wanañitaka Mimi nimpigie simu ili awalipe ili hali namba yake wanayo.

Nikawauliza wakati huyo anakopa mlinipigia kutaka concern yangu kama rafiki au ndugu yake kama mnavyofanya Leo?

Nikawauliza pia kama wao wanafahamu gharama ya kumdhalilisha mtu mitandaoni kama wanavyofanya kwani kukopa ni Siri kati ya Mkopa na Mkopesha.

Ombi langu kwako Afande IGP.

Kwakuwa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba alishakiri kuwa BOT haijawahi kutoa leseni kwa hawa watu na wanachokifanya ni Wizi,Utapeli na Udhalishaji tu kwa raia,

Tafadhali Kamata hawa watu na wafikisheni mahakamani kwa mujibu wa Sheria ili wakasajili hizo Biashara zao na wafanye Biashara kwa Misingi ya Kisheria huku wakithamini faragha na utu wa watu.

Why umpatie mtu TZS 34,000 uje umdai TZS 153,000 tena kwa kumdhalilisha kwa Kila mtu.

HIVI TANZANIA TUNAKWENDA WAPI?​
Ujinga wetu wenyewe lawama tumpe wambura tumuache mzee wa watu ahangaike na familia yake muda wa mapumziko
 
Kuna inayoitwa Tulia Foundation!

Mtu huyu ni kiongozi mkubwa anayeongoza mhimili wa Bunge, lakini ajabu jina lake linatumika kutapeli wananchi?

Hovyo kabisa
Msiongee kama ngedere. Una ushahidi? Au mnakurupuka tu nyie mbwa Koko. Yani tulia aje awatapeli nyinyi masikini kisa mtoa mkopo Amejiita tulia.

Kuweni na fikra basi
 
Kwanza kinacho nishangaza Namba zetu za simu wanatoa wapi hawa matapeli Je serikalini hakuna watu wa Haiti je TCRA inafanya kazigani Hapa nchini. Ccm Achieni nchi imewashinda.
 
Back
Top Bottom