Igunga Kufungwa Taa za Kuongoza Magari Barabarani

Igunga Kufungwa Taa za Kuongoza Magari Barabarani

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

IGUNGA KUFUNGWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI BARABARANI

Clip/Video

Majibu ya Serikali kuhusu kufungwa Taa za kuongoza Magari dhidi ya Watembea kwa Miguu na Vyombo vingine vya moto kwenye Mji wa Igunga baada ya swali la Msingi la Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa.

Serikali imeshapata mkandarasi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa ajili ya Kufunga Taa za kuongoza Magari kwenye sehemu Tatu za Igunga Mjini. Mkandarasi ameanza kazi.

Kwa Niaba ya Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutatua Changamoto kubwa iliyokuwa ikisababisha ajari za mara kwa mara kwenye Barabara Kuu ya Igunga.

#KAZINAMAENDELEO
KAZIIENDELEE
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-06-01 at 12.59.11.mp4
    11.6 MB

IGUNGA KUFUNGWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI BARABARANI

Clip/Video

Majibu ya Serikali kuhusu kufungwa Taa za kuongoza Magari dhidi ya Watembea kwa Miguu na Vyombo vingine vya moto kwenye Mji wa Igunga baada ya swali la Msingi la Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa.

Serikali imeshapata mkandarasi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa ajili ya Kufunga Taa za kuongoza Magari kwenye sehemu Tatu za Igunga Mjini. Mkandarasi ameanza kazi.

Kwa Niaba ya Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutatua Changamoto kubwa iliyokuwa ikisababisha ajari za mara kwa mara kwenye Barabara Kuu ya Igunga.

#KAZINAMAENDELEO
KAZIIENDELEE
Umekosea matumizi ya neno 'dhidi', dhidi maana yake ni against, hapo kwenye neno dhidi ulipaswa kutumia neno 'kwaajili'
 

IGUNGA KUFUNGWA TAA ZA KUONGOZA MAGARI BARABARANI

Clip/Video

Majibu ya Serikali kuhusu kufungwa Taa za kuongoza Magari dhidi ya Watembea kwa Miguu na Vyombo vingine vya moto kwenye Mji wa Igunga baada ya swali la Msingi la Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa.

Serikali imeshapata mkandarasi kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) kwa ajili ya Kufunga Taa za kuongoza Magari kwenye sehemu Tatu za Igunga Mjini. Mkandarasi ameanza kazi.

Kwa Niaba ya Wananchi wa Jimbo la Igunga, Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutatua Changamoto kubwa iliyokuwa ikisababisha ajari za mara kwa mara kwenye Barabara Kuu ya Igunga.

#KAZINAMAENDELEO
KAZIIENDELEE
Kufunga taa za kuongozea magari Igunga hii hii au Igunga ile ya US?
 
Back
Top Bottom