Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Sisi watu wa kwenye daladala nilisikia tu mtangazi wa TBC akifokafoka kuwa "haki ya nani haki ya nani ya Mungu si ya Athumani.... yametimiaaa...maweeee...ile record unbearten imebitiwa [emoji3].....,
Sisi mashabiki kiwaviwavi wa bonde la Ihefu tunaomba serikali iIfanywe kesho kama Saudi tu dhidi ya Argentina.
Sisi mashabiki kiwaviwavi wa bonde la Ihefu tunaomba serikali iIfanywe kesho kama Saudi tu dhidi ya Argentina.