Ihefu FC yamtema Kocha wake Zuberi Katwila

Ihefu FC yamtema Kocha wake Zuberi Katwila

Kijana?baba ake q chief . Ana watoto na wajukuu plus vitukuu bado una muita kijana?
Je huyu bwana ni mdogo wake aliyekuwa winga hatari wa Mwadui ya Shinyanga enzi hizo Shaban Katwila?
 
Uongozi wa timu yetu umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja Mkataba na aliyekua Kocha wetu Mkuu Zuberi Katwila.

Hata hivyo ongozi wa timu unamshukuru Kocha katwila kwa wakati wote aliokua nasi ndani ya timu kama Kocha Mkuu tangu alipojiunga nasi mwaka 2020.

Ihefu Sc inamtakia kila la kheri Kocha Katwila katika maisha yake mapya ya soka na atabaki kuwa Mwanafamilia wa MbogoMaji.

Kwa kuongezea ihefu fc chini ya kocha wao zuberi katwila ndio timu pekee ilioweza kupata ushindi mara mbili dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu Tanzania yanga sc katika misimu miwili.

Kuna watu watakuwa wamefurahi na kuna watu watakuwa na huzuni.View attachment 2781654
Aende Tanzania Prisons, hawana kocha hao.
 
Uongozi wa timu yetu umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja Mkataba na aliyekua Kocha wetu Mkuu Zuberi Katwila.

Hata hivyo ongozi wa timu unamshukuru Kocha katwila kwa wakati wote aliokua nasi ndani ya timu kama Kocha Mkuu tangu alipojiunga nasi mwaka 2020.

Ihefu Sc inamtakia kila la kheri Kocha Katwila katika maisha yake mapya ya soka na atabaki kuwa Mwanafamilia wa MbogoMaji.

Kwa kuongezea ihefu fc chini ya kocha wao zuberi katwila ndio timu pekee ilioweza kupata ushindi mara mbili dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu Tanzania yanga sc katika misimu miwili.

Kuna watu watakuwa wamefurahi na kuna watu watakuwa na huzuni.View attachment 2781654
Bila shaka ni baada ya kugundua kocha anaiandaa timu msimu mzima kwa ajili ya kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wa Haighland Estate. Baada ya hapo timu inachezea vichapo, mpaka inanusurika/inashuka daraja.

Nadhani wamechukua maamuzi sahihi. Kocha aina hiyo, ni useless kwenye timu.
 
Back
Top Bottom