Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Sema play off inayofuata ndo mziki maana hizi team za Ligi kuu zinaijua sana hii michezoWalisatahili pamoja na figisu zote
Habari wakuu
Kiukweli kabisa kutoka moyoni nimeichagua ihefu fc kuwa team yangu pendwa Baada ya Simba,Mufc,Liverplate.
Mungu ibariki Ihefu ifuzu TPL
View attachment 1513992
Kabisa mkuuHongera zao, niliumia walipopigwa goli 3 nikasema wameshatolewa nimefurahi wamepindua matokeo
Basi soka la bongo limedevelop yani unapigwa tatu na unageuza matokeo....Hongera zao, niliumia walipopigwa goli 3 nikasema wameshatolewa nimefurahi wamepindua matokeo
Habari wakuu
Kiukweli kabisa kutoka moyoni nimeichagua ihefu fc kuwa team yangu pendwa Baada ya Simba,Mufc,Liverplate.
Mungu ibariki Ihefu ifuzu TPL
View attachment 1513992
Dunia,Argentinaliverplate ipo sayari gani?
Correction: Ni 'River plate CF' sio 'Liverplate'Habari wakuu
Kiukweli kabisa kutoka moyoni nimeichagua ihefu fc kuwa team yangu pendwa Baada ya Simba,Mufc,Liverplate.
Mungu ibariki Ihefu ifuzu TPL
View attachment 1513992
Basi soka la bongo limedevelop yani unapigwa tatu na unageuza matokeo....
Club Atletico River PlateDunia,Argentina
Sahari ya Platinumliverplate ipo sayari gani?
Bila kusahau kamati za ufundi na roho mbayaHamna lolote unakuta wao walifungwa kwa figisu nawao wameshinda kwa figisu kila mtu kwao
Figisu zipi mkuu ?Figisu walizofanyiwa na dodoma fc wameenda kulipiza kwa kuifanyia figisu transit camp
Kwa dua za transit camp hawapiti kwenye knockout
Mpk dakika ya 80 ihefu alikuwa anaongoza goli moja kilichotokea dkk 10 zilizobaki wao wenyewe wanajuaFigisu zipi mkuu ?
Sasa mkuu mpira si ni dakika 90 na ndani ya muda huo goli linaweza kufungwa dakika yoyote ?Mpk dakika ya 80 ihefu alikuwa anaongoza goli moja kilichotokea dkk 10 zilizobaki wao wenyewe wanajua
Mkuu mi nilikuwepo uwanjani hiyo siku ninachokizungumza nilikishuhudia KWA macho yanguSasa mkuu mpira si ni dakika 90 na ndani ya muda huo goli linaweza kufungwa dakika yoyote ?