Ihefu fc

Ihefu geita gold naomba zipande ni time zamatajiri zina viwanja magari mazuri wachezaji wazuri wataleta ushindani wa kweli wakiaacha mambo ya simba na yanga gwambina siwaoni kama washindani wa kweli dodoma vile vile wamebebwa mpk kufika ligi kuu wanahitaji marekebisho mwakubwa kuwa wapinzani wa kweli mpira unakuwa kwa kasi sana unahitaji uwekezaji kama huu kongore kwao ila bado wanakazi ya kucheza play-off wasibweteke kwa ushindi
 
Geita Gold hawana uwanja
 
Sioni hoja yako hapa. Kwa hiyo zikibaki dk 10 team haiwezi tena kufunga?dk 10 kuna wastani wa bao 4 hapo.

Mpk dakika ya 80 ihefu alikuwa anaongoza goli moja kilichotokea dkk 10 zilizobaki wao wenyewe wanajua
 
Geita Gold ni timu masikini, haina uwanja. Inamilikiwa na Halmashauri ya mji Geita
 
Hongera Ihefu Football Club, nawatakiwa heri ya Mafanikio mpande Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…