Ijue 40 anayofanyiwa marehemu

Sio kweli. Mizimu ni roho za mashetani zenye kuvaa sura ya watu ambayo wazee wao walikuwa wanayaabudu na kuyatolea sadaka. Hupata uhalali baada ya wazee wa hizo koo kuweka maagano either kwa maneno au sadaka na kujinasua ni kuyatengua na kutafuta maagano yao kwa jina la YESU na kwa damu ya Yesu pekee. In short tu, roho humrudia muumba aliyeitoa na mwili utarudi mavumbini wala haibaki siku 40 so hizo arobaini ni sawa na Ibada za wafu kwa mashetani.
 
Ndio hiyo hiyo 40 ,siri nayo ni nini? wew ulisema 40 ni kwenye kifo tu ndio maana nikauliza kwenye watoto kuzaliwa mbona na wao wana hiyo 40 ya kutolewa nje?
Tulipishana kidogo mkuu, sio kwamba nilisema 40 ipo kwenye kifo tu isipokuwa niliegemea hapo kwa kina.

Mwizi akikamatwa tunasema za mwizi ni 40

Wazungu wana msemo wao wanasema life starts at 40 nk
 
imani yako nzuri sana na nimeipenda. Mwalimu wako wa dini aliyekufundisha sunday school aliifanya vyema kazi yake. Je watakatifu na mitume wa dini za kikristo, kiislamu, kibudha na kihindu ni akina nani hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…