Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
[emoji95] πΌ π π πΎ π π π π π πΌ π [emoji573]
[emoji419] Kwa kifupi sana kuhusu ASEC MIMOSAS wapinzani wa Simba kwenye kombe la shirikisho Afrika,
[emoji419] Klabu hii ilianzishwa mwaka 1948 ni miaka 74 sasa imepita na inashiriki Ligi kuu nchini Ivory coast,
[emoji419] Inamiliki uwanja wake ujulikanao kama Stade Felix Houphouet-Bolgny Abidjan, wenye uwezo wa kuingiza watazamaji 50,000.
[emoji419] Mwenyekiti wake ni Roger Ouegnin huku ikiwa inafundishwa na kocha Julien Chevaller.
[emoji419] Na hawa ni baadhi ya nyota waliowahi kuichezea ASEC MIMOSAS
[emoji419] Bonaventure Kalou, Didier Zokora, Emmanuel Eboue, Bakari Kone, Gervinho, Solomon Kalou, Romaric, Boubacar Barry, Didier Ya Konan, Kolo Toure, Yaya Toure, na Odilon Kassounou.
[emoji419] Kwenye kuyaanza makundi ya kombe la shirikisho wataanza na Mnyama kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa
[emoji419] Kwa kifupi sana kuhusu ASEC MIMOSAS wapinzani wa Simba kwenye kombe la shirikisho Afrika,
[emoji419] Klabu hii ilianzishwa mwaka 1948 ni miaka 74 sasa imepita na inashiriki Ligi kuu nchini Ivory coast,
[emoji419] Inamiliki uwanja wake ujulikanao kama Stade Felix Houphouet-Bolgny Abidjan, wenye uwezo wa kuingiza watazamaji 50,000.
[emoji419] Mwenyekiti wake ni Roger Ouegnin huku ikiwa inafundishwa na kocha Julien Chevaller.
[emoji419] Na hawa ni baadhi ya nyota waliowahi kuichezea ASEC MIMOSAS
[emoji419] Bonaventure Kalou, Didier Zokora, Emmanuel Eboue, Bakari Kone, Gervinho, Solomon Kalou, Romaric, Boubacar Barry, Didier Ya Konan, Kolo Toure, Yaya Toure, na Odilon Kassounou.
[emoji419] Kwenye kuyaanza makundi ya kombe la shirikisho wataanza na Mnyama kwenye dimba Ia Benjamin Mkapa