Ijue Couple inayokuja kwa kasi JF baina ya Baby Daby na Baby Valentina

Ivi Kumbe hadi mambo ya Instagram humu JF yapo . Sikuwahi kujua .
Ila JF haijakaa Romantic kiasii hicho mnapotaka kuipeleka .., huku tumezoea kuona watu wakidiacuss NONDO....Mambo Mazito.

Embu huo.
ujiinga mliouanza upelekeni instagram
Binafsi huwa naona mahala salama kwa ajili ya kupembua na kutafakati jambo la maana ni huku Jami forum .Sasa. kama huku nako kunageuka kuwa ni mahala pa kufanya romantics basi tumekwisha. Jamii forum inageuka kuwa si mahala salama tena
 
Wapi nimemkataa wifi yangu? Mie nawakataa wazinzi wenzio. Siku ukimpata wifi ndio uje unitambulishe dogo. Hao wengine muishie huko huko, wasije niona na mie wale wale!!! Sawa mtoto mzuri?
Usihukumu usije ukahukumiwa.

Ndiyo nimepata unatambulishwa au utambulisho wako hadi urushwe na runinga ya umma mubashara? ?
 
Wapi nimemkataa wifi yangu? Mie nawakataa wazinzi wenzio. Siku ukimpata wifi ndio uje unitambulishe dogo. Hao wengine muishie huko huko, wasije niona na mie wale wale!!! Sawa mtoto mzuri?
kwahiyo shangazi me naonekana walewale
 
Binafsi huwa naona mahala salama kwa ajili ya kupembua na kutafakati jambo la maana ni huku Jami forum .Sasa. kama huku nako kunageuka kuwa ni mahala pa kufanya romantics basi tumekwisha. Jamii forum inageuka kuwa si mahala salama tena
hii ni chit chat nendeni majukwaa mengine ya maana kwenu kama mnakwazika hapa
 
Usihukumu usije ukahukumiwa.

Ndiyo nimepata unatambulishwa au utambulisho wako hadi urushwe na runinga ya umma mubashara? ?
Kila utambulisho huwa unasema hivyo hivyo. Mie sitaki tena kwakweli. Utanitambulisha siku ya harusi maybe ndio nitakuelewa.
 
Binafsi huwa naona mahala salama kwa ajili ya kupembua na kutafakati jambo la maana ni huku Jami forum .Sasa. kama huku nako kunageuka kuwa ni mahala pa kufanya romantics basi tumekwisha. Jamii forum inageuka kuwa si mahala salama tena
Hii ni chit chat, of all threads na majukwaa yooote ukafungua hii alafu unashangaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…