Ijue historia ya Chifu Mkwawa (Sehemu ya kwanza)

Mukwi yudada avadabalyuka vya indabalyufu vidabalyuka ti fyaunya mkwawa oyee! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasikia ukienda kalenga museum ngome ya mkwawa ukipiga picha bila kuomba zinaungua hazitoki
 
History nzuri aeleze maana ya Tosamaganga
 
Huyo Mwambambe Mwaliyungu lazima ana damu na profesa yule
 
Ss c umalizie mkuu
 
Ni vizuri kujua tulikotoka maana siku hizi ni rahisi sana MTU kumjua Trump historia yake lakini ukimuuliza Chief Lumanyika ni nani hajui
Ni Soggy Doggy Anter
 
nomaaa
 
Sasa mnatuchanganya tumwamini yupi
Yeah kaa vipi kaeni pamoja then mje utupe kitu cha ukweli kwan ss kuwazamini mpate nafasi ya kuandika kitabu sio gharama kubwa.

Pili if possible tutengeneze movie ya maana coz hizi zetu nowadays hazina mzuka kila siku mapenzi tu.

Jipangeni wandugu coz life is brain on head. Thanks
 
hizo safari za kutoka iringa Dodoma unaweza ukadhani walikua wanapanda coaster, kumbe ni mwendo wa visigino tu
Tena njia yenyewe imejaa mawe, mbigiri, miiba, vumbi na nyoka wa hatari bila kusahau ukame na jua kali ukanda huo. Uko peku ardhi imewaka kuliko mkaa.
 
Kuna kambuni moja ya filam ya ujerumani walitaka kutengeneza senema ya maisha juu ya Mtwa Mkwawa.
Walizuiwa kuwa inaweza kuamsha hasira chuki kati ya kizazi hiki na wageni wazungu.
Kwamba itaonesha mateso ,ukatili na udhalili waliofanyiwa Wahehe( waafrica).
Kwamba hawa waliwatesa babu na bibi zetu. REVENGE
 
Kwel mwisho chuki najua ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…