nashukuru kwa kunielewa. khs shuleni na wasomi Tanzania hii wasomi wote nyie sie watu wa pwani tumeridhika na kazi zetu za udalali masokoni uvuvi nk...Acha kudanganya watu usijifanye shuleni ulienda pekee yako kusoma sawa kijana
Mkuu ulikuwa umeandika historia nzuri sana mpaka ulipoanza kuwataja hawa watu.. Sijaelewa kama unajaribu kuwalinganisha kutokana na maeneo walikotoka (wa bara dhidi ya wapwani) ama dini zao (waislam dhidi ya Wakristo) vinginevyo historia nzuri umetufumbua macho wengi…kuja Tanzania kitu kingine kujua historia ya mzizima kitu kingine tatizo lenu mnajua kila kitu nyie. sina neno juu ya ilo maana ni malezi na tamaduni zenu ushauri wngu naomba mpitia life style ya Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete na Alhaj Ally Hassan Mwinyi hlf angalia na Baba wa taifa Julias Nyerere Mzee wetu kaka wa taifa Benjamin William Mkapa Na Ngoma ngumu Mh Dk John Pombe Magufuli labda unaweza kuelewa kidogo nina maanisha nn...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yako kijana wewe unajishtukia burenashukuru kwa kunielewa. khs shuleni na wasomi Tanzania hii wasomi wote nyie sie watu wa pwani tumeridhika na kazi zetu za udalali masokoni uvuvi nk...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hapo waislam wamedai warudishiwe Ikulu. hiyo ni historia ya mji wetu Mzizima Bandari Salama Dar es Salaam Sasa sijui mna tatizo gani. khs Ikulu kuhamia Dodoma itakuwa kheri kwetu ujui waswahili tunasema kuvuja kwa Pakacha...Kwa hiyo waislamu mnataka Serikali ikihamia Dodoma (Rais akienda Dodoma) mrudishiwe majengo ya Ikulu na St Joseph Parish?
Ndo mnaanza hila za upotoshaji wa historia?
Uzuri Tanganyika Imepata Uhuru mwaka 1961. Kutokea hapo kila mtu akawa na kile alichokimiliki. Hivyo niseme tuu kwamba mpotoshe mpotosheje Tanzania Haina Dini watu wake ndo wana Dini.
Siku njema huonekana asubuhi na dalili ya mvua mawingu.Wapi hapo waislam wamedai warudishiwe Ikulu. hiyo ni historia ya mji wetu Mzizima Bandari Salama Dar es Salaam Sasa sijui mna tatizo gani. khs Ikulu kuhamia Dodoma itakuwa kheri kwetu ujui waswahili tunasema kuvuja kwa Pakacha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Alhaji Abdallah Tambaza
Seyyid Majid, aliyekuwa akitawala Dola ya Kiislamu akitokea Zanzibar, wakati huo wa ‘Ottoman Empire’, alijenga makazi yake pale Ikulu ya Magogoni (Kitongoji cha Mzizima), ili iwe kitovu cha kuenezea Uislamu kutokea hapo kuelekea maeneo mengine ya Mrima, Pwani na Bara hadi Kongo na Burundi.
Pamoja na Ikulu ile ya Magogoni, Seyyid Majid pia alijenga lile jumba la ‘Ocean Road Cancer Institute’ (ORCI) kwa sasa, ambalo mwanzoni lilikuwa ni Msikiti Mkubwa wa Ijumaa.
Wakoloni wa Kizungu walipokuja hapa kwetu baadaye, mahala hapo pakafanywa hospitali iliyojulikana kama ‘Ocean Road European Hospital’, iliyokuwa ikiwatibia Wazungu peke yao.
Ikulu ile ya Magogoni wakati huo, ilikuwa imezungukwa na misikiti mingine kama 40 hivi ambayo yote, katika Utawala wa Kijarumani, ilibadilishwa matumizi na kufanywa taasisi nyengine.
Misikiti mingine iliyobaki ikasambaratishwa na kutumiwa kwa shughuli nyengine, ukiwamo Msikiti mkubwa uliokuwa baharini pale Forodhani, jijini Dar es Salaam, ulipogeuzwa kutoka msikiti na kuwa Kanisa la Mtakatifu Joseph mpaka leo hivi.
Mwandishi Hussein Bashir Abdallah, katika kitabu chake alichokiita ‘Dola Kongwe ya Zanzibar, kutoka Omani hadi Kongo’, pamoja na mambo mengine anaandika:
“…
Alamsiki!
Mzee wangu Mohammed Said na bibi FaizaFoxy msaada wenu please.Rubawa, nipo interested na Historia kamili ya Ocean Road Cancer Institute.
1. Lini ilijengwa?
2. Nani alijenga? Na architect alikuwa nani?
3. Matumizi yake ya awali kabla ya wajerumani yalikuwa ni yepi?
4. Wajerumani walilipataje?
5. Matumizi kipindi cha Wajerumani yalikuwa yapi? Jina walilolotumia kiutambulisho ni lipi?
6. Dr. Robert Koch ni nani? Alifika lini hapo Ocean Road ku run research yake ya Malaria?
7. Baada ya vita vya kwanza vya dunia, waingereza walipoichukua nchi, walilitumiaje jengo hilo na jina gani walilolibatiza kiutambulisho?
8. Baada ya Uhuru, jengo lilitumikaje? Lini lilianza kuwa martenity wing ya Muhimbili?
9. Waingereza walifanya extension ya jengo kwa kuongeza majengo. Kuna old german building na British wing. Ni yepi majengo waliyoyaongeza waingereza?
10. Baada ya maternity wing, ni link ikaja kuwa radiotherapy unit au radiology unit ya muhimbili?
Nachokifahamu baada ya 1996, hapo ndipo rasmi kwa muswada uliosainiwa na Mh. Rais wa awamu ya tatu, hapo ndipo Ocean Road Cancer Institute ilipozaliwa.
Kama utaweza kunisaidia viongozi wa mwanzo kuiongoza Taasisi hiyo kabla ya Prof. Twalib Ngoma kuwa mkurugenzi itasaidia sana ktk kuijua historia ya Taasisi hiyo.
In case kama una reference ninayoweza kuipitia kujibu maswali hayo nisaidie ilo nijifunze.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna huu muhadhara wa Sheikh Zuberi Yahya (Mungu amrehemu) kuhusu Historia ya jiji la Dar es Salaam tokea 1865.Rubawa, nipo interested na Historia kamili ya Ocean Road Cancer Institute.
1. Lini ilijengwa?
2. Nani alijenga? Na architect alikuwa nani?
3. Matumizi yake ya awali kabla ya wajerumani yalikuwa ni yepi?
4. Wajerumani walilipataje?
5. Matumizi kipindi cha Wajerumani yalikuwa yapi? Jina walilolotumia kiutambulisho ni lipi?
6. Dr. Robert Koch ni nani? Alifika lini hapo Ocean Road ku run research yake ya Malaria?
7. Baada ya vita vya kwanza vya dunia, waingereza walipoichukua nchi, walilitumiaje jengo hilo na jina gani walilolibatiza kiutambulisho?
8. Baada ya Uhuru, jengo lilitumikaje? Lini lilianza kuwa martenity wing ya Muhimbili?
9. Waingereza walifanya extension ya jengo kwa kuongeza majengo. Kuna old german building na British wing. Ni yepi majengo waliyoyaongeza waingereza?
10. Baada ya maternity wing, ni link ikaja kuwa radiotherapy unit au radiology unit ya muhimbili?
Nachokifahamu baada ya 1996, hapo ndipo rasmi kwa muswada uliosainiwa na Mh. Rais wa awamu ya tatu, hapo ndipo Ocean Road Cancer Institute ilipozaliwa.
Kama utaweza kunisaidia viongozi wa mwanzo kuiongoza Taasisi hiyo kabla ya Prof. Twalib Ngoma kuwa mkurugenzi itasaidia sana ktk kuijua historia ya Taasisi hiyo.
In case kama una reference ninayoweza kuipitia kujibu maswali hayo nisaidie ilo nijifunze.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna huu muhadhara wa Sheikh Zuberi Yahya (Mungu amrehemu) kuhusu Historia ya jiji la Dar es Salaam tokea 1865.
Bora ulivyoikimbia maana History ya Hear say itapishana tu mahaliNimeanza tu kusoma makosa yanajitokeza
Karne ya 1800
Ottoman Empire
Ujenzi wa Kanisa la St Joseph.
Historical Rubbish
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran, Allaah amrehemu Sheikh Zubeir. Una majibu specific kuhusu historia ya Ocean Road?
Sent from my SHV-E330K using Tapatalk
Rubawa huna makosa maana wewe umetuletea uhondo, wengine hatukujua kuna Makabburi ya Wangazija, makaburi ya WaOman, Wakorja ungemalizia basi hako kasehemu ka pili ka Mtaa huo wa Kisutu ili tuweke sawa Historia na najua kina mohame Said wapoKweli kbs upo Sahihi ndugu yngu mradi ww ni mtu mweusi mwenzangu sina tatizo kbs maana kila siku naomba radhi sie wa kusamehewa tu...
The building was built in 1922 by the English architect, John Sinclair. John Sinclair designed a number of buildings in Tanzania like the High Court and the Bharmal Building.
Rubawa huna makosa maana wewe umetuletea uhondo, wengine hatukujua kuna Makabburi ya Wangazija, makaburi ya WaOman, Wakorja ungemalizia basi hako kasehemu ka pili ka Mtaa huo wa Kisutu ili tuweke sawa Historia na najua kina mohame Said wapo
Mm nijuavyo Sultan Majid kaitawala Zanzibar baada ya Sultan Barghsh kufa mwaka 1856 na ujasiri wa kuja Dar na kujenga jengo la Ikulu hapana ila km yalikuwepo majengo yake na Misikiti sawa
Hapo Magogoni pamejengwa 1922 na Mhandisi Sinclar
View attachment 1191633
View attachment 1191634Ikulu, The State House of Tanzania
Ikulu is the State House of the United Republic of Tanzania and the official residence and office of the president.3rdworldarchitecture.wordpress.com
Haya ni mambo ya kuyajua tena hebu andika na kitabu kabisa.Nimekaba siti
Ngoja waje wana historia
Nimeshangaa alipodai mwarabu kajenga ikulu ya magogoni