Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Wewe utapotea kwa kufikiri ni nguvu za giza, Nimrod na mafarao kwa kuwa walikuwa ni watu weusi, wakaitwa ni mashetani na antichrist! Lazima uamke na ujitambue! Uwoga ni mfungwa wa milele!
Mimi ni muislam.nimekuuliza hyo miungu ya kimisri imeumba nini?
 
Miungu inahama?
 
Mimi ni muislam.nimekuuliza hyo miungu ya kimisri imeumba nini?
Soma Tena hapo juu nimeshakwambia.

Kuna Thoth Sisi tunamtambua huyu kama Mungu Mwezi!
Unadhani kwanini nyie Waislam mnauheshimu sana Mwezi kuliko Jua?
Unajua kipi kilicho nyuma?
Unadhani kwanini Dini za Ulimwenguni
Kama Uislam, Ukristo, Hindu, Judism na mabudha
Wote wanamtaja Amen/Amun/Amon mwisho wa sala zao?
Unajua Asili Ya Amen?
Unadhani nini maana yake?
 

Attachments

  • Screenshot_20170423-042730.png
    33.3 KB · Views: 32
kuna kitu hata mimi najiuliza.
wakati wa hukumu ya Yesu walitupiana sana mpira Herode/pilato
pilato nafikiri alikua Mtaliano
herode mfalme wa wayahudi.
halafu Yesu ni mgalilaya sasa hapo najiuliza wagalilaya wana tfauti gani na wayahudi?
Herode ni cheo cha mtawala wa wayahudi wakati wa utawala wa warumi. Ndo maana tunaona kuna Herode aliyeamrisha watoto wauawe wakati wa kuzaliwa Yesu na yule wa wakati wa kuhukumiwa Yesu Kristo.
Yesu alipoondoka Nazareth alielekea Galilaya na maeneo mengineyo akiwapatia watu habari njema. Wote Yesu na Herode ni wayahudi. Herode alikuwa makao makuu ya wayahudi huko Yerusalemu. Hivi tukisema mgalilaya ni kuonyesha alitokea Galilaya na kwa walioishi Galilaya walmwita Mnazareth kwa kuwa alitokea Nazareth.

Kuna yule Muethiopia wa Kirene ambaye tunamuita Simoni Mkirene aliyemsaidia Yesu Msalaba (huyu waislamu husema alibadilishiwa sura na Yesu na Yesu akatokomea kusikojulikana, ambapo sisi huwajibu Mungu wetu si mDanganyifu) pia kuna yule mwanamke aliyeishi huko samaria ambapo ni tunamwita mwanamke msamaria n.k.
 
Sisi tumekatazwa.kuamini miungu mingi.mungu ni mmoja.na ndiye ameumba jua na mwezi na nyota.vipi ninyi muuite mwezi ni mungu?haya mafundisho mnayapata wapi?
 
Sheria za Mungu zinabadilika?
Haya Niambie musa alikua anawahukumu kifungo gani wazinzi na wauaji?

Naomba unifafanulie kuhusu CIA na muungano tafadhali
 
Naomba unifafanulie kuhusu CIA na muungano tafadhali
 
hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
Herode alikuwa mtawala alowakwa na waroma....ni sawasawa na useme tanganyika si ilikuwa. Chini ya gorvenor richard turnbull kwa iyo watanganyika walkuwa wazungu???...try to dig deep na kusoma zaidi
 
Hata hii michoro mingi imechakachuliwa...
 
Kama hujui kaa kimya usilete porojo...
Ukweli hautobadilika kwa sababu ya mtizamo wako....
 
Hakuna cha evidence... all are just hypotheses. By the way, nimetaja akina nani?!
Kwanini usichukue muda wako nawe ukaanza kuchimba historia ya mtu mweusi kuliko kukakamaza shingo?....ukombozi wa watu huanza katka kujitambua kwanza....swali la kwanza huwa mimi ni nani?? Nimetokea wapi? Asili yangu historia yangu?....kujikomboa kitamaduni kijamii...kifikra...ndiko hupelekea kujikomboa kiuchumi....kumbuka mzungu au mwarabu hakuja ili akukomboe wewe mwafrika bali ye mwenyewe ajitajirishe....ambapo walianza kwanza kwa kututawala ktk nyanja zote za kitamaduni...kidini....kiuchumi...kijamii....iyo ni minyororo ambayo tunapaswa kuivunja...tunaivunjeje??? Ndio yapaswa tujitambue kwanza...
 
Big point
 
Je we ni mwarabu? Km sio mwarabu....unaaminije kiasi icho kitabu ulicholetewa na waarabu na imani zao?
 
Tusingekuwa na akili wazungu wasingetusomba kwa maelfu kwenda kucheza mpira kwenye timu zao tena kwa bei kubwa
 
Jamani ,Yesu akatokomea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
simoni alisaidia msalaba ila baada ya pale sikuelewa yalimfata yapi.
na kuna kitu kilinichanganya afadhali umejibu.
wana mwita Yesu mnazareti ,wakati wanasema katoka galilaya kumbe ndo hivooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…