Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwajui watu weupe wewe jiulize kwa nini mpaka leo hakuna watu weusi argentina ila brazil wapo ilhali kote watumwa walipelekwa!hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
So na wewe unaamini huo upumbavu!?Mbona tunaambiwa mwili wake ukizikwa kesho yake hujitokeza. KAMA sio kweli kwanini asizikwe sasa
Naomba majibu tafadhali
Umesha ambiwa kuwa alikuwa na great empire means utawala wake ulikuwa unatawala kuanzia misri mpaka hayo mataifa mengine Israel ilikuwa ni sehemu ya koloni la misrihutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
Ishaandikwa hatazikwaSoma tena hapo juu, amesema mwili wake upo hadi sasa sababu ya kumbukumbu! na si yeye tu kuna miili mingine mingi ipo kwenye Majumba ya makumbusho ya Egypt!