Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sasa wewe nawe kwanini umeweka picha ya dada? Mimi mwenyewe najua ni dada kwani dada anaweza kujiita Nassib hamna wakumuulizaNdomana nsema wew unamatatizo ya akili yani unaona nassib af unasema dada tena khaaa asee wafrikaaa bhna
Sasa wewe nawe kwanini umeweka picha ya dada? Mimi mwenyewe najua ni dada kwani dada anaweza kujiita Nassib hamna wakumuuliza
Hahahahahahhahah,,,,sawa mkuuu nmekudereeeeeMwacheni khaah!....sioni tatizo lilipo kwa hilo.
Amini unavyo amini wewe! Mwenye Enzi Mungu anajua utukufu wa binadamu ni uhai na uzima aliyo nao! Sasa hao wanao chinjana na kuuwana kila iitwayo leo, it is totally sad! Mola aingilie Kati atufungue ufahamu wetu sisi binadamu kwa kweli!Ukweli wa firauni.katika quran
We unaamini firauni wa enzi ya musa.ambaye maiti yake IPO mpaka Leo.alikuwa ni mungu wa misri?Amini unavyo amini wewe! Mwenye Enzi Mungu anajua utukufu wa binadamu ni uhai na uzima aliyo nao! Sasa hao wanao chinjana na kuuwana kila iitwayo leo, it is totally sad! Mola aingilie Kati atufungue ufahamu wetu sisi binadamu kwa kweli!
Wewe usihangaike na maisha ya mtu mwingine na anacho kiamini! Kuwa na maisha yenye upendo na amani, kila kitu chako kita kunyokea wewe na nchi yako na familia yako! Ndiyo maana nimekwambia kula nyama mfupa tema! UPENDO NA AMANI NI MWENYE ENZI MUNGU! Utavuna unayo yapanda, hiyo ndiyo dini! You can't cheat CREATIONS! That's all!We unaamini firauni wa enzi ya musa.ambaye maiti yake IPO mpaka Leo.alikuwa ni mungu wa misri?
Sawa karibu.Wewe usihangaike na maisha ya mtu mwingine na anacho kiamini! Kuwa na maisha yenye upendo na amani, kila kitu chako kita kunyokea wewe na nchi yako na familia yako! Ndiyo maana nimekwambia kula nyama mfupa tema! UPENDO NA AMANI NI MWENYE ENZI MUNGU! Utavuna unayo yapanda, hiyo ndiyo dini! You can't cheat CREATIONS! That's all!
AMUN RASawa karibu.
safi sana dada, Amani na Upendo ndiyo misingi mikuu zaidi kwenye Dini.Amini unavyo amini wewe! Mwenye Enzi Mungu anajua utukufu wa binadamu ni uhai na uzima aliyo nao! Sasa hao wanao chinjana na kuuwana kila iitwayo leo, it is totally sad! Mola aingilie Kati atufungue ufahamu wetu sisi binadamu kwa kweli!
Amun Ra brother!safi sana dada, Amani na Upendo ndiyo misingi mikuu zaidi kwenye Dini.
Mkuu hii picha ya filauni, mbona anaoneka ana kidole gumba kirefu? Vipi hapo ni maumbile ama?Huu ni mwili wa Rammesses! Kama huu mwili unaouona hapa ni kweli haujaoza!, zitafakari imani zako na vyanzo vyako vya habari. View attachment 500055
Herode ni myahudi, gavana wa warumi
Herode alikuwa Mrumi
Naandaa Hili na lile, soon nitarudi tuendelee kutafakari miss.Secret star, watu wana njaa, tunangoja hekima zako!
Hapana Firauni ni mmoja wa watawala waliowahi kupita, hana tofauti na wewe na mimi! Na ndo maana vizazi vyao tunavyo mpaka leo! Mungu ni Mungu na hawezi kuwa mwanadamu mzee!Mtoa mada kumbe unamuabudia firauni dah