Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
Mkuu usiwe zumbukuku unaniangusha.Hayo unayoyauliza yalishajibiwa kwenye thread kadhaa kule jamii intelligence.
 
Ww dini gani? Unataka nikuorodheshee dini ili uchague moja au?
Nitafurahi sana ukifanya hivyo, ila kukupunguzia kazi, Nitajie Dini tatu za kale zaidi katika Historia, Nani nitakutajia moja niliyomo ndani yake
 
Hakuna chochote cha maana ulichoandika ,umeandika kishabiki shabiki kama stori za kijiweni.
 
huyo firauni alifia kwenye bahari pamoja na majeshi yake..biblia ilificha mwisho wake lakini katika uislam kaelezewa vizuri tu.sa kama wewe mtoa mada utawaskiza hawa wanahistoria wa leo au utafuata maelezo ya dini..
suala la mwili kuwa kama sanamu baada ya kufa ni kwamba yeye ndiye mtu wa kwanza kufa na kufanyiwa vile na MUNGU..alifanywa sanamu ili awe fundisho kwa vizazi vyote vijavyo had mwisho wa dunia.hapo ndipo wahuni walipojifunza kukausha marehemu baada ya kufa ili wamhifadhi bila kuoza..
soma deep zaid mkuu
 
postmortem aliyofanyiwa firauni huyo hapo pichani,inaonekana alikufa kwa mibamizo ya maji

uchunguzi wake ulifanyikia ufaransa kama sikosei ni miaka 70 na dr bucaille
 

Niwie radhi kama nitakuwa nimekukwaza ila lengo langu ni kuelimika zaidi. Vitabu vya dini maarufu (Biblia na Quran) kwa nyakati tofauti vinamtaja Farao kwamba aliadhibiwa na MUNGU/ALLAH kwa kukufuru na kujiita mungu, mkuu adhabu aliyopewa ni kuololewa mwili wake kutoka baharini alipozama na majeshi yake na kuufanya mwili wake kutooza ili vizazi vya baadae (tukiwemo sisi) tujifunze.

Kwa akili yangu ndogo nafahamu kuwa Faraoh ni cheo (Mfano Rais, Mfalme, Sultani n.k) na siyo jina kama wengi wanavyofikiri. Mafarao walikuwa wengi maana walikuwa mmoja akifa mwingine anarithi. Swali la kwanza ni Faraoh yupi kati ya mafarao waliotawala Misri alimkufuru MUNGU? (naomba atajwe kwa cheo na jina). Swali la Pili ni kwa nini MU
 
Mnasema huyu ni pharao wa ||, je,mwili wa pharao wa | hupo?.
 
Umeeleza vizuri mkuu

Ni ajabu jinsi watu wanavyofungwa macho na imani zao kiasi cha kushindwa kusoma historia
 
Farao ndio firauni...so Timu ya wamisri wana jiita mafirauni😀😀😀😀😀
 
Weusi Zanzibar! Kwakuwa ndio wenyeji halisi wa eneo hilo, na walishaanza kupotezwa kiuchumi, kisiasa, kijamii nk.
Hawa watu weupe hawa
Your browser is not able to display this video.
 
Angekuwa hai ilibidi tumuulize maswali ili kuondoa huu utata.
Nalog off
 
Waarabu ni race ya mwisho kuingia hapo Misri baada ya Wayunani-Greeks na kisha Warumi chini ya Alexander the great
Waarabu Race ya mwisho kukaa Misri walitokea wapi hapa Duniani?????

tunajua Wayunani walitoka kwao U-Greek ya leo, Warumi Walitoka- Roma ya leo! na hao waarabu hawakuwa na asili ya kwao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…