Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana NAHUJA
nimefika
mmmh!!!! Huko juuuuuuuu milimaniKwenu kijiji gani
Ongeza kasie na werason
Harikaa, imi si mwathuu, namanya chasuu kidorii. Imi ni mcharoo.
Kasie ni Kasinde chotara wa kinyamwezi na kabila moja la maringo huko Tanga.
Wapare ni watani zangu sana, wanapenda sana ku.ti.ana hilo mtoa mada hujalisema japo hawafikii wahaya..... Ile katereroo hata uige haifikii utaalamu na utamu wa nsenene na matoke.
Naongea kutokana na uzoefu.
Wa satendi za henyuu, wakedhije huko.
hadi kasi?
mimi chotara wa kinyamwezi na kipare.
Ndio
Woow, Ila avatar yako inanizuia kuandika maneno mengi. Byeeeeee.
Im so sorry Kasie,Please correct my name, I love it so much. Hata dadii akiona umeniita hivo atakukasirikia.
My name is Kasinde aka Kasie.
Harikaa, imi si mwathuu, namanya chasuu kidorii. Imi ni mcharoo.
Kasie ni Kasinde chotara wa kinyamwezi na kabila moja la maringo huko Tanga.
Wapare ni watani zangu sana, wanapenda sana ku.ti.ana hilo mtoa mada hujalisema japo hawafikii wahaya..... Ile katereroo hata uige haifikii utaalamu na utamu wa nsenene na matoke.
Naongea kutokana na uzoefu.
Wa satendi za henyuu, wakedhije huko.
Im so sorry Kasie,
You know the way I love you.
I have corrected it.
We bibi natamani nikufahamu