Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Shalom
Kuna huduma kuu 5 ambazo ni Utume, unabii, Uchungaji , ualimu na Uinjilisti.
Kwasababu ya watu kukosa MAARIFA ya ndani juu ya huduma wengi huishia kujiita Wachungaji, Walimu na Wainjilisti. Kuna watu wanafanya huduma ambazo hawakuitwa kwazo, kuna watu wanaogopa kufanya huduma ya kinabii au kitume ingawa wameitwa kwazo kwasababu hawakumpata mentor wa kuwafungua ufahamu juu ya huduma zao , sometimes Mungu amewaita na wanethibiisha lakini wachungaji wao wamekuwa kwazo.
Ukijiita mwinjilisti kanisa au jamii wala haishituki, ukijiita mwalimu pia jamii ya kanisa haishituki the same ukijiita mchungaji.
Ila siku ukijiita Mtume au Nabii kanisa litahamishia vita nyumbani kwako.
Kwanini?
Mungu hawezi kukupa kitu ambacho hukifahamu, kwakuwa wengi wamefunga fahamu zao na kukosa MAARIFA juu ya hizo huduma 2 ambao zinaonekana zina mvuto na kuwa tishio kwa Huduma ya kichungaji basi wachungaji wengi wametamatisha kuwa hakuna huduma ya kinabii sasa na wanasema kila mmoja anaweza kuwa nabii. Big no.
Mungu sio chizi
Karama ya kinabii ambayo haiwi permanent ndani ya mkristo ndio inaweza kufanya kazi kwa kila mkristo aliyejawa Roho Mtakatifu lakini huduma ni kwa waliopewa tu. Ni ofisi yao ya kudumu.
AINA ZA MANABII
Kuna aina kuu 3 za manabii
1.Unabii ambao mtu anazaliwa nao.
Mfano: Jeremia, Yohana mbatizaji, n.k
2. Nabii wa kuitwa
Mfano : Amosi
3. Nabii wa kuwa mfuasi (mpambe)
Mfano: Elisha
Kwanini nabii anaweza kuona future, past na present ya mtu bila kuambiwa?
Jibu: Mbele za Mungu vitu vyote ni past . Yaani kwa Mungu hakuna kipya, yote yametendeka. Hivyo nabii ili atabiri anakuwa na uwezo wa kufanya forecasting ya maisha ya mtu.
Nabii ni sauti ya Mungu kwa wanadamu huku kuhani /mchungaji ni sauti ya watu kwa Mungu.
Iko hivi : Mchungaji anatoa ya wanadamu kupeleka kwa Mungu huku Nabii anatoa ya Mungu kuleta kwa wanadamu.
Yeyote anayetaka kuwa nabii anaweza kuwa nabii kwa mujibu wa aina 3 nilizoweka hapo juu.
Pia kuna makundi ya manabii
A. Manabii wadogo
B.Manabii wakubwa.
Acha wivu juu ya huduma ya kinabii unajilaani wewe mwenyewe na kizazi chako.
Note: Wapo wachungaji wa uongo, mitume wa uongo, walimu wa uongo, Wainjilisti wa uongo na manabii wa uongo lakini kwakuwa watu wamekosa maarifa wameishia kusema manabii wa uongo tu huku wakiacha makundi mengine yaendelee kulipotosha kanisa.
Sijaweka andiko hata moja. Kama kutakuwa na swali nitajibu kwa kunukuu maandiko.
Pia anayetaka kuwa nabii nitamfundisha bure.
Shalom
Kuna huduma kuu 5 ambazo ni Utume, unabii, Uchungaji , ualimu na Uinjilisti.
Kwasababu ya watu kukosa MAARIFA ya ndani juu ya huduma wengi huishia kujiita Wachungaji, Walimu na Wainjilisti. Kuna watu wanafanya huduma ambazo hawakuitwa kwazo, kuna watu wanaogopa kufanya huduma ya kinabii au kitume ingawa wameitwa kwazo kwasababu hawakumpata mentor wa kuwafungua ufahamu juu ya huduma zao , sometimes Mungu amewaita na wanethibiisha lakini wachungaji wao wamekuwa kwazo.
Ukijiita mwinjilisti kanisa au jamii wala haishituki, ukijiita mwalimu pia jamii ya kanisa haishituki the same ukijiita mchungaji.
Ila siku ukijiita Mtume au Nabii kanisa litahamishia vita nyumbani kwako.
Kwanini?
Mungu hawezi kukupa kitu ambacho hukifahamu, kwakuwa wengi wamefunga fahamu zao na kukosa MAARIFA juu ya hizo huduma 2 ambao zinaonekana zina mvuto na kuwa tishio kwa Huduma ya kichungaji basi wachungaji wengi wametamatisha kuwa hakuna huduma ya kinabii sasa na wanasema kila mmoja anaweza kuwa nabii. Big no.
Mungu sio chizi
Karama ya kinabii ambayo haiwi permanent ndani ya mkristo ndio inaweza kufanya kazi kwa kila mkristo aliyejawa Roho Mtakatifu lakini huduma ni kwa waliopewa tu. Ni ofisi yao ya kudumu.
AINA ZA MANABII
Kuna aina kuu 3 za manabii
1.Unabii ambao mtu anazaliwa nao.
Mfano: Jeremia, Yohana mbatizaji, n.k
2. Nabii wa kuitwa
Mfano : Amosi
3. Nabii wa kuwa mfuasi (mpambe)
Mfano: Elisha
Kwanini nabii anaweza kuona future, past na present ya mtu bila kuambiwa?
Jibu: Mbele za Mungu vitu vyote ni past . Yaani kwa Mungu hakuna kipya, yote yametendeka. Hivyo nabii ili atabiri anakuwa na uwezo wa kufanya forecasting ya maisha ya mtu.
Nabii ni sauti ya Mungu kwa wanadamu huku kuhani /mchungaji ni sauti ya watu kwa Mungu.
Iko hivi : Mchungaji anatoa ya wanadamu kupeleka kwa Mungu huku Nabii anatoa ya Mungu kuleta kwa wanadamu.
Yeyote anayetaka kuwa nabii anaweza kuwa nabii kwa mujibu wa aina 3 nilizoweka hapo juu.
Pia kuna makundi ya manabii
A. Manabii wadogo
B.Manabii wakubwa.
Acha wivu juu ya huduma ya kinabii unajilaani wewe mwenyewe na kizazi chako.
Note: Wapo wachungaji wa uongo, mitume wa uongo, walimu wa uongo, Wainjilisti wa uongo na manabii wa uongo lakini kwakuwa watu wamekosa maarifa wameishia kusema manabii wa uongo tu huku wakiacha makundi mengine yaendelee kulipotosha kanisa.
Sijaweka andiko hata moja. Kama kutakuwa na swali nitajibu kwa kunukuu maandiko.
Pia anayetaka kuwa nabii nitamfundisha bure.