Ijue Human Microchip Implant na madhara yake

Ijue Human Microchip Implant na madhara yake

tracking-chip.jpg
 
micro-chip huu ni mpango wa zamani sana asilimia kubwa ya watu wote duniani wameshawekewa hii micro-ship kwa ujanja ujanja na kila mtu anaonekana kwenye computer ya dunia

na kipindi cha new world order hii microchip ndio itatumika kucontrol akili za watu mfano mtu anweza letewa mawazo ya kujiuwa n.k
Nimependa haya maelezo sana yana ukweli
 
Acha uwongo wewe bora ungekaa kimya kuliko kuleta hadithi zako za kwenye gahawa.
Mara nyingi huwekwa Shingoni kwa nyuma au Begani sehemu inapochomwa Sindano ya Ndui au kwenye Kidole cha Mikono............!!!! Hakiumi ni kama umepigwa Mkwaruzo fulani.........inawekwa na Pampu maalumu
 
Hizi chanjo chanjo hizi ni za kuogopa sana......

Sijui mara chanjo ya mabusha, chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi...

Haponi mtu wengi tayari tupo kwenye system ya wenye dunia
 
Kifaa hiki kina uhusiano gani na 666?

Kwani hakiwezi kuvaliwa sehemu nyingine(kama saa ya mkononi) bila kuingizwa ndani ya mwili
Watu wangekubali ingekuwa hivyo ila baada ya hiyo microchip kupata upinzani ndio wakaamua kuwawekea watu kwa lazima na njia ndio hiyo

Mwenyewe nahisi ninacho[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Uhusiano wa hiki kifaa na 666 ni katika mfumo mpya wa dunia (NWO) ambapo moja ya agenda zako kwenye huo mfumo kuna kutumia 1 currency ambayo ni dollar ambayo itakuwa sio kwa mfumo wa coin wala note, ili u draw hela benki huitaji card yake ambapo lazma uwe na hiyo chip ambayo ikiingia mwilini sio rahisi kuonekana tena pamoja na hiyo chapa ya 666 kwa nje,

Agenda yao ya pili ni kupunguza idadi ya watu duniani ili wabaki wachache na kuwa easy for them to control the world easily, hiyo chip ikisha ingia kwenye mwili wa binadamu inapeleka taarifa kwenye vituo vyao kuwa kuna mtu ameshaingia kwenye mfumo wao na mtu anakuwa controlled wanavyo taka wao, wakitaka kumuua mtu, kujua taarifa zote za mtu tangu anazaliwa na kilakitu na hizi chip zinaingia kwenye mwili wa binadamu kwa njia ya kutobolewa kiganja na kupitishwa au kwa njia ya kula ambapo mara nyingi huwaga wanaweka kwenye dawa za tiba za msaada na kuwapelekea victims.

Chip zinazo wekwa kwa njia ya mkono zinabaki hapo hapo ila kwa njia ya chakula zikiingia mwilini zinaenda direct kukaa keen he paji la uso, kufungwa nje ya mwili hiki kifaa inakuwa haina topauti na mtu aliye kishika, haina madhara, ni hadi iwe internal ili iweze kusoma na Ku process data vizuri,
Mkuu, inaingia kwa njia ya chakula then inapandisha kwa paji la uso!! Mmmhh!!
Mbona hii statement kama iko na mkanganyiko flan ndani yake.
Nijuavyo mimi hata kama sio mwana biologia ni umeng'enyaji wa chakula lazima utokee, sasa hiyo chip(hope itakuwa na material ya vyuma/plastic itakuwa directed vipi mpaka kwa paji la uso?
Pia mwili humeng'enya chakula then kinaamza kusafirishwa mwilin ktk mfumo wa kimiminika/ soluble particulates vinginenyo itatolewa kama uchafu(haja kubwa). Hebu nielimishe kidogo juu ya hizo kitu zinanitatiza hapo juu mkuu
 
manina zao "" 666 HIYOOOOOO....daaahh hii dunia kweli ni zaidi ya uijuavyo""
 
Kuna mradi unaofahanika kana all seen one eye [asoe] baadhi ya wanaharakati wanasema ni mpango wa mpinga kristo na ni wa illuminati. Mradi huu unataka kudhibiti (control) binadamu wote duniani kwa kutumia hizo microchips, na wanataka zieweze kuhamasisha amri ( commands ) kwa ubongo wa binadamu kuwa na watumwa dunia nzima ( slavery world ) . na ikitokea kuna binadamu anasumbua ama hahitajiki basi ni suala la kuzima tu hiyo microchip na binadamu huyo atakufa na hakuna kusumbuana.

Ili programu hii ikubalike kwa wengi, inabidi kutumia mbinu mbalimbali za kuwashawishi, mfano ugaidi wa 911, au kusema kwamba kwa chip hiyo tu daktari anaweza kufanya diagnosis ya mwili wako na kujua nini tatizo kama ilivyo kwa magari ya kisasa.

Ila kimsingi ni mpango ovu sana kwa binadamu, na kwa wenye kufuatilia movies kwa jicho la tatu wataona mfano wa mpango huu kupitia movies za matrix na x-men na zingine kama hizo... Lakini kwa wenye imani za kidini wnapenda kuhusisha mpango huu na suala la 666 japo sio kwamba ni kweli moja kwa moja maana mwenye jina lenye kukamilisha hesabu ya 666 inaaminika alikwisha tokea kitambo sana....

In short dunia ina mengi sana...na ukiyafuatilia yote lazima uwe chizi....
 
Kifaa hiki kina uhusiano gani na 666?

Kwani hakiwezi kuvaliwa . sehemu nyingine(kama saa ya mkononi) bila kuingizwa ndani ya mwili
Huu ni mpango wa NEW WORLD ORDER na ndio maana wanataka kuwanyangaya raia wote silaha ili kuondoa upinzani wwte ule.hii inamaanisha kutakua na monitoring ya binadamu wte duniani. Hivyo mpinga kristo atafanikiwa km biblia isemavyo hutanunua wala kuuza km huna chapa ya mnyama. Angalia mambo ya electronic money transfer tgopesa, mpesa huu ni mpango unaitwa ELIMINATION OF CASH MONEY. kuna mambo mengi inahitaji utulivu kuyaeleza vzr.
 
huyo 666 ndo huyo wanaesema alitokea Italy? wanafanya hivyo ili iweje??
 
Huu ni mpango wa NEW WORLD ORDER na ndio maana wanataka kuwanyangaya raia wote silaha ili kuondoa upinzani wwte ule.hii inamaanisha kutakua na monitoring ya binadamu wte duniani. Hivyo mpinga kristo atafanikiwa km biblia isemavyo hutanunua wala kuuza km huna chapa ya mnyama. Angalia mambo ya electronic money transfer tgopesa, mpesa huu ni mpango unaitwa ELIMINATION OF CASH MONEY. kuna mambo mengi inahitaji utulivu kuyaeleza vzr.
funguka zaidi mkuu tupate elimu
 
Back
Top Bottom