aliyebaniwa?
exactlyNaomba nifikishie ujumbe huu kwa muheshimiwa Maxence Melo
Naomba ifunguliwe thread maalum au kichwa cha habari kikubwa mfano kwa hivi tunavosema Jukwaa la siasa au Habari mchangangiko
Jukwaa hili lipewe jina maaluma linalofaa kwa ajili wa watu kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu
Kabisa mheshimiwa.Tuwapongeze wanzilishi enzi zetu mambo yote mazito mazito tuliyapata hapa nakumbuka jamii forum ilianza kupoteza heshoma yake baada ya vijana wa lumumba kujisajili walifanya hivyo kwa kazi maalumu.
Baada ya kushindwa hoja wakataka ifungiwe.
MasaniloWapo wengi sana,Bubu Ataka Kusema=BAK na wengine wa miaka hiyo.
Na mwenzake malaria suguMasanilo