Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Mbowe akishinda hili linaweza tokea kwa wanachadema wengi wakawaida.Kiutani utani CHAUMMA inaenda kuwa Chama kikuu cha Upinzani
TL for presidency 🙌Tumaini jipya , TL presdency 2025
More likelyMbowe akishinda hili linaweza tokea kwa wanachadema wengi wakawaida.
HakikaTL for presidency 🙌
Waende tuMbowe akishinda hili linaweza tokea kwa wanachadema wengi wakawaida.
Tukale ubwabwaTuishi na hii.
View attachment 3208020
Wapokea rushwa mtakuwa na furaha ya muda mfupi tu. Mbowe hana hela ya kuwalisha wajumbe wake wote kwa miaka mitano mfululizo . Mo Dewji mwenyewe tajiri namba moja Tanzania hana hela za kuchezea hivyo kugawa gawa bure.Mbowe anamuiga Samia ila ajue Samia huwa hatumii hela zake, Samia ana dola na kodi za wananchi.Waende tu
Hao washkaji hawanaga hata mia... Watafanyia kampeni Clubhouse au C
Hii katiba iliandikwa kisomi sana
Twende na hii wakuu
Hii katiba iliandikwa kisomi sanachauma khatima yao ni nzuri imewekwa wazi Kila kitu