Ijue 'Koteka' kabla haijapotea

Ijue 'Koteka' kabla haijapotea

Hawa jamaa sio Rahisi kuugua saratani zinazosababishwa na Chinese Fabrics na junk foods from west.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mkuu wewe mada zako bwana!

Juzi juzi ulikuja na uzi unaozungumzia jamaa waliojikata mashine leo tena umekuja na wengine wanazificha kwenye vipande vya miti.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Jinsi nguo zilivyo bei juu na hela yenyewe ilivyo ngumu kupatikana, wangeleta na bongo tu hiyo Koteka [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2445][emoji377]
Sipati picha pale bungeni ingekuwaje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umejua kunichekesha wallah
 
Mkuu wewe mada zako bwana!

Juzi juzi ulikuja na uzi unaozungumzia jamaa waliojikata mashine leo tena umekuja na wengine wanazificha kwenye vipande vya miti.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ni lazima tuzijue mila za wanadunia wenzetu ili tuweze kuishi kwenye Dunia ambayo kila mmoja aheshimu dini mila za mwenzake mimi nikipata fursa ya kwenda IRIAN JAYA nina hamu saaana ya kuvaa Koteka!
 
Ni lazima tuzijue mila za wanadunia wenzetu ili tuweze kuishi kwenye Dunia ambayo kila mmoja aheshimu dini mila za mwenzake mimi nikipata fursa ya kwenda IRIAN JAYA nina hamu saaana ya kuvaa Koteka!
Hahah sawa mkuu kila la heri

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
New Papua Guinea na Samoa asili yao ni EastAfrika haswa TZ, jamaa joto linawafavour kuvaa hivyo
Wenyeji wa Papua New Guinea na IRIAN JAYA huishi maisha kama ilivyokuwa Enzi za Adam na Eva

Mila za wenyeni hawa neno kusjisiriri linahusu sehemu moja tu kwa wamaume sehemu yenuewe ni muhimu sana kwa uwepo wao.

Wao hujisiri kwa Kuvaa KOTEKA aina ya Tunguli iliyokaushwa vizuri kabisa na wanaume hao wa Shoka hupendeza sana na kila kabila ina KOTEKA ilitodariziwa kwa Ustadi mkumbwa kabisa.
View attachment 1006406

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom