Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungechongewa yako ni kama unavyoenda kwa fundi Cherehani si ni lazima akupime?!
Vipi mzingo wa pumbu wenyewe unabembea tu au una mfuko wake ?Sio mambo ya siasa ni mila zao na pia Imani yao
Pahala pangu Sheikh ile size yake yakheeee ndo NtihaniHuwa inachongwa kwa kutokana na hali halisi ya pahala
Jamaniiii huo mti una mchoma hapo kwenye ziwa 🤔🙆♀️Dunia ina maajabu hii.Waziri wa kutoka Papua New Guinea akiwa anasikiliza kwa makini mkutanoni UN.
View attachment 1006419
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umejua kunichekesha wallahJinsi nguo zilivyo bei juu na hela yenyewe ilivyo ngumu kupatikana, wangeleta na bongo tu hiyo Koteka [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2445][emoji377]
Sipati picha pale bungeni ingekuwaje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
Ni lazima tuzijue mila za wanadunia wenzetu ili tuweze kuishi kwenye Dunia ambayo kila mmoja aheshimu dini mila za mwenzake mimi nikipata fursa ya kwenda IRIAN JAYA nina hamu saaana ya kuvaa Koteka!Mkuu wewe mada zako bwana!
Juzi juzi ulikuja na uzi unaozungumzia jamaa waliojikata mashine leo tena umekuja na wengine wanazificha kwenye vipande vya miti.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hahah sawa mkuu kila la heriNi lazima tuzijue mila za wanadunia wenzetu ili tuweze kuishi kwenye Dunia ambayo kila mmoja aheshimu dini mila za mwenzake mimi nikipata fursa ya kwenda IRIAN JAYA nina hamu saaana ya kuvaa Koteka!
Hutengenezwa kuendana na size, ambacho sijajua ni ikitokea mashine imesimama gafla itakuwaje kwani vibuyu vyenyewe kama vyembamba kidogoHivi vidude wanavyovaa sijui kama vingenitosha
Wenyeji wa Papua New Guinea na IRIAN JAYA huishi maisha kama ilivyokuwa Enzi za Adam na Eva
Mila za wenyeni hawa neno kusjisiriri linahusu sehemu moja tu kwa wamaume sehemu yenuewe ni muhimu sana kwa uwepo wao.
Wao hujisiri kwa Kuvaa KOTEKA aina ya Tunguli iliyokaushwa vizuri kabisa na wanaume hao wa Shoka hupendeza sana na kila kabila ina KOTEKA ilitodariziwa kwa Ustadi mkumbwa kabisa.
View attachment 1006406
Mwenye tatizo la sperm "kaunti" ajiulize mwenyewe na sio kusingizia boksa,Sperm lazima zipate hewa na ubaridi ili ziwe ma rutuba sisi tunavaa majinzi masuruwali mazito chupii za No smoking tunazibana korodani halafu tunalalamika ooh!! Sperm count!!