Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauli ni shilingi ngapi kufika huko? nimechoka kuishi kama shetani
Yule prince anakula bata ya hatari niliona wakati usher anakabidhiwa ile snicker alikua haamini anatoa meno tu! pia huyu dogo no miongoni mwa young billionaires duniani!Yah ndiyo kipindi hicho.
Wana prince wao mmoja bishoo sana kila birthday huwaalika wanamziki mashuhuri wa marekani na kuwalipa maela mengi.
Ashawahi kumwalika usher raymond akamlipa ela nyingi na kumpa viatu vimenakshiwa kwa almasi, mariah carley, paris hilton na wengine kibao.
Pia mfalme wa brunei aliwahi mkodishia kinyozi ndege toka uingereza aende kumnyoa nywele.
Kwani ww unaenda kuiba au kutembea na wake za watu?? Mbona wabongo mnajistukia au wabongo wote ni wezi??Waongo kule wanakatwa mikono... Umeandikaje hii kitu au kuna mtu unamwambia yeye anakuandikia!?!?
Kwani mzee ww unaenda kutembea na wake za watu au kuzini? Mbona unajistukia??wabongo bwana...bado hakuna uhuru wa maamuzi yako.et pombe marufuku,mara kupigwa mawe mbaka kufa,haaaa
Ila hapo pa kupigwa mawe duuuh pagumu sana
Si bure! Hapo ni Sharia inafanya kazi ndio maana mambo yanakwenda, Wakiingia Mishetani ya Kimagharibi kama walivyoingia Libya mambo yanaharibika
Mambo mengine yanatokea tu.............huko sio kwa kwenda...................Kwani mzee ww unaenda kutembea na wake za watu au kuzini? Mbona unajistukia??wabongo bwana...
Uhuru? Uhuru wa kulala na njaa?bado hakuna uhuru wa maamuzi yako.et pombe marufuku,mara kupigwa mawe mbaka kufa,haaaa
na siku si nyingi unaingia stage ya jini.........