abado hakuna uhuru wa maamuzi yako.et pombe marufuku,mara kupigwa mawe mbaka kufa,haaaa
You guys made my day [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huko nasikia kwa MTU asiye raia hususan kutoka Afrika ili akubaliwe ni aidha aoe mlemavu au awe na taaluma inayohitajika sana huko,,ukioa mlemavu ambaye amekosa mume huko unapewa stahiki zote kama raia wa hiyo nchi!!unakula maisha tu,ukirudi huku unakuta ndugu zako wote washakuwa makini maana washapitiliza ushetani!
Na tanzania ni ya pili duniani ambayo wananchi wake hawali pi kodi wazazi wakienda hospital hula la sakafuni hawalipi kodi wazee hulipwa maneno elimu bure lakini hulipi unafukuzwa rain wake wanapo oa serekali huwa pa risiti ni nchi yenye waenda kwa miguu na yobayoba rais wake ndie anae milk kila kitu ni rais wa kwanza duniani anae wasomesha namba raia wake
Naomba tuungane ktk hiyo safari nitauza banda langu tusepesema na nauli basi niuze kiwanja changu niondoke
Kkkkkk waarabu bana dah!Yah ndiyo kipindi hicho.
Wana prince wao mmoja bishoo sana kila birthday huwaalika wanamziki mashuhuri wa marekani na kuwalipa maela mengi.
Ashawahi kumwalika usher raymond akamlipa ela nyingi na kumpa viatu vimenakshiwa kwa almasi, mariah carley, paris hilton na wengine kibao.
Pia mfalme wa brunei aliwahi mkodishia kinyozi ndege toka uingereza aende kumnyoa nywele.
Umenikumbusha huu wimbo wa prof jWabongo wanapenda sana starehe kuliko kazi wanatamani wangezaliwa brunei wamwage ladhi...muulize professor j.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Huko huingii kizembezembe mkuu kupata hiyo visa hutopata kamweeeee
Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Nipe A B c mkuu niko seriousMi naijua ni pazuri hakuna tofauti sana na Chato
Wabongo wanapenda sana starehe kuliko kazi wanatamani wangezaliwa brunei wamwage ladhi...muulize professor j.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app