Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Typographical error mkuu

Hiyo ya hemisphere sijaielewa hata mm ndio mana nimecite source boss!
Nchi zote ambazo zimepitiwa na mstari wa Ikweta zipo katika northern na southern hemisphere. Uganda na Kenya zijiwemo.

Huyo aliyeandika hiyo habari hajui Jiografia.
 
Kuna mdogo wake sultan alishawahi spend usd 750,000/day in one year..uzuri wao nchi nzima ni km familia tu
$750,000 in one year si kitu cha ajabu.

Kuna watu si masultani wala nini wanaspend hiyo hela over a weekend.
 
$750,000 in one year si kitu cha ajabu.

Kuna watu si masultani wala nini wanaspend hiyo hela over a weekend.
750,000/day for a year..alishawahi alika miss Amerika aje adansi tu kwa malipo ya usd3000/saa
 
750,000/day for a year..alishawahi alika miss Amerika aje adansi tu kwa malipo ya usd3000/saa
Ok, 750,000 a day for one year that is something else.

Ulikuwa hujafafanua hiyo "a day for one year". "In one year" na "for one year" zina maana mbili tofauti.
 
Planet x unakuta kutumbua Lamborghini zote[emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Uwiano wa 1:209 ni mkubwa kivipi?

Uwiano mkubwa ni 1:1

Halafu, namba 8 "nchi pekee iliyopo northern and southern hemisphere" unaelewa umeandika nini? Ushawahi kutazama ramani ya dunia?
Kwamba uwiano wa watu na magari ni 1:209? Kama ndivyo inamaanisha kuna wastani wa magari 209 kwa kila mtu mmoja. Kwa hiyo ni sahihi kwamba uwiano wa 1:209 ni mkubwa zaidi ya ule 1:1 uliodai kuwa ndiyo mkubwa kwa sababu tafsiri ya uwiano wa 1:1 ni kwamba kwa kila mtu mmoja kuna gari moja.
 
Unajua kua Bruney mwanamke hapigi kura mpaka leo? Hiyo ni haki kweli? Mwanamke anatakiwa kuazwa kwenye mazungumzo na sio yeye kuanza

Hijabu is a dress code to any woman plus visitors haaa ww jamaa
Sasa ndugu yangu unataka wanawake wapige kura wamchague nani wakati hii thread ni wewe mwenyewe ndie umeleta na umeshasema inatawaliwa na Sultan! Sasa ushawahi kuckia Sultan anapigiwa kura?!

In short, sio wanawake tu bali suala zima la election Brunei halipo!
 
Unafahamu maana ya uwiano? Uwiano maana yake ni mlinganyo wa vitu viwili, anything that deviates from 1:1 is disproportional.

Uwiano ni mlinganyo unaolinganisha pande mbili. Ukisema "uwiano ni mkubwa" maana yake unasema usawa wa pande mbili ni mkubwa.

Katika uwiano wa 1:209 uwiano si mkubwa, kwa sababu hakuna usawa kati ya watu na magari. Kama kuna magari 209 kwa kila mtu mmoja hakuna uwiano mkubwa, kuna kutowiana kati ya watu na magari.

Halafu hiyo ratio ni ya uongo.

Will cars outnumber residents in Brunei?

"Brunei has one of the world's highest car ownership rates in the world, with 2.65 people per vehicle, according to the Department of Economic Planning and Development. There were 148,186 vehicles registered with the Land Transport Department in 2011, an increase of 30 per cent from the previous year."

Hiyo ratio imetokaje 2.65 people per car in 2011 to 1 person per 209 cars now?

Inaonekana aliyeandika amejitungia tu mambo.
 
UMESAHAU...
Ni Nchi ya kiislamu, ambayo raia 90% ya raia wake wameisha enda HIJJA. mipango ya hija na gharama za hija hufanywa na serikali, uratibu wa kwenda hijja huanzia mama anapobeba mimba.
NI Nchi isiyokuwa na polisi ama pia kiwango cha uhalifu ni 0%.
 
Mkuu ahsante kwa masahihisho. Nilisahau kwamba kwa kadri tofauti kati ya vitu viwili vinavyolinganishwa inapokuwa kubwa ndipo uwiano wake unapokuwa mdogo zaidi.
 
Jerrymsigwa unajua haramu tamu? Tena raha ya pombe inywewe kunako kadamnasi, thanka God kwa kuzaliwa kwangu Tz
Mkuu wangu maneno haya si mazuri kumbuka muumba wa mbingu na ardhi hapendi, nadhani wajua pia kwamba hiyo tamu ya haramu hugeuka chungu zaidi ya shubiri pale unapokamatwa.
 
Mkuu kura sio raisi tu, hata monitor darasani anapigiwa kura.
 
Nchi inakosa mahitaji muhim. Kilaji, mkuu wa meza haiyamkini hata 'mambo yenu yale' hakuna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…