KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
hana uwezo huoTupe line up tafadhali
Hao wanaosimamiwa na daud watakua hamnazo nao
Yes una kumbukumbu nzuri sana.Pamba ya Mwanza ilitoka kushinda 12 na ile Timu ya shelisheli ilipoenda Mbeya na Mecco walifungwa 3 kwa moja mechi za mwisho mwisho wakina marsha kabla ya kwenda Simba..kipindi hicho kulikua na Mpira
unakumbuka mechi ya Tky Stars na Denmark?Yes una kumbukumbu nzuri sana.
unakumbuka mechi ya Tky Stars na Denmark?Yes una kumbukumbu nzuri sana.
Ukisikia anamtaja Kitwana Suleiman mara tatu ujue kuna goli hapoItakuwa Omary Jongo au Abubakary Liyongo, walikuwa na mbwembwe hao lkn mwisho wa mbwembwe alikuwa Dominick Chilambo (RIP) alikuwa anaipamba pamba hadi raha, kama bado hujaingia uwanjani unasikiliza kwa radio unatamani upae, manake ukiangalia msululu ulivyo mrefu na geti lilipo unahisi utakuta mpira ushaisha
Acha Urongo.... Una uhakika na unachokinena? ni uchochezi kuandika kitu ambacho huna uhakika nacho....Yaani TFF au FAT zamani wakose Kumbukumbu za timu zao za ligi? Mabwaku haya ya karne. ila Record zipo Nikienda Arusha nikikutana na Rashid Chama ana mapicha kibao sana hadi walipoenda na timu ulaya na mataifa kibao Africa anazo... Mtafute atakusaidia Sana Kocha.Asante kwa kumbukumbu nzuri. TFF hawana records, poor them.
Nataka nitengeneza database archive ya soka LA Bongo
Rashid Chama ni TFF?Acha Urongo.... Una uhakika na unachokinena? ni uchochezi kuandika kitu ambacho huna uhakika nacho....Yaani TFF au FAT zamani wakose Kumbukumbu za timu zao za ligi? Mabwaku haya ya karne. ila Record zipo Nikienda Arusha nikikutana na Rashid Chama ana mapicha kibao sana hadi walipoenda na timu ulaya na mataifa kibao Africa anazo... Mtafute atakusaidia Sana Kocha.
Kwanza Huyo Abeid Kasabalala ni mchezaji beki hiyo ya winga nawasiwasi nayo maana namfahamu vizuri yupo anaishi Kiwalani na ni Mjumba wa Mtaa huko kwake na huwa anamashindano yake ya ndondo ya kikampeni ccm damu damu.
Mwananchi Engineering and Construction Company (MECCO).Mecco (ambayo ndio waliokuwa wamiliki wa team ya mecco) ilikuwa kampuni ya ujenzi ya serikali ambayo makao makuu yake yalikuwa mbeya.Miaka ya mwanzoni mwa themanini walikuwa wanajenga barabara za mwanza,kuanzia buzuruga stand hadi buzuruga shuleni, mpaka nyakato sokoni.Na kambi yao ilikuwa hapo nyakato (mecco) .Hivyo jina la mecco lilitokana na kambi ya hii kampuni ya ujenzi.
Hawa ndio walio jenga Soko LA KariakooMwananchi Engineering and Construction Company (MECCO).
Ndio mkuu, walijenga pia jengo la kitega Uchumi, NDC, New Africa Hotel nadhani na Kilimanjaro Hotel.Hawa ndio walio jenga Soko LA Kariakoo
Kilimanjaro ilijengwa na WaisrselNdio mkuu, walijenga pia jengo la kitega Uchumi, NDC, New Africa Hotel nadhani na Kilimanjaro Hotel.
Achana na MECCO kuna Tukuyu Star wakati huo wakikukosa MECCO ndio anakuja kusawazishaHawa jamaa mpaka watu waliomba poo kuwa wanatumia madawa
Hapo Nilipoandika sijaonesha Chochote au kuelezea kama Rashid ni TFF soma quote yangu upya uelewe mkuu. bali utaona kuwa TFF hawawezi kosa records pale utakuwa hujaenda tu. Chama nae Anahistoria kubwa sana kahifadhi.Rashid Chama ni TFF?