IJUE MIJI 3 YA AJABU CHINI YA BAHARI UNAYOPASWA KUITEMBELEA

IJUE MIJI 3 YA AJABU CHINI YA BAHARI UNAYOPASWA KUITEMBELEA

mwaka 1999 kuingia mwaka 2000 saa saba na robo usiku, tukiwa katika jahazi na masheikh sijui niwaite maustazi ama niwaitaje ila tangu mwanzo wa safari walikuwa ni wachangamfu sana, huku wao wakiwa na mizigo mingi katika jahazi lile nikimaanisha karibia robo ya mizigo yote iliyokuwemo katika jahazi ilikuwa ni ya kwao....spendi kuandika mengi ila kabla hatujafika unguja wale watu walisema wamefika na wakaanza kushusha mizigo wakiitosa ndani ya maji, watu wote tulishikwa na butwaa na mimi kiranga cha kudandia majahazi kiliisha siku hiyo..ila mwisho kabisa kulikuwa kuna pesa wanadaiwa ambayo waliahidi kuimalizia watakapo fika safari yao......nakumbuka kauli yao ya mwisho ilikuwa ni hii .....sisi si watu wa dhulma, mteueni mmoja wenu afuatane nasi tukampatie kiasi kilichobakia....nahodha akajibu tunashukuru wala hatuwadai sisi nyie nendeni tuu kwa roho nyeupeee...hatukufika unguja..je kuna ambaye ashausikia huo mji ulio karibu na unguja?
 
mwaka 1999 kuingia mwaka 2000 saa saba na robo usiku, tukiwa katika jahazi na masheikh sijui niwaite maustazi ama niwaitaje ila tangu mwanzo wa safari walikuwa ni wachangamfu sana, huku wao wakiwa na mizigo mingi katika jahazi lile nikimaanisha karibia robo ya mizigo yote iliyokuwemo katika jahazi ilikuwa ni ya kwao....spendi kuandika mengi ila kabla hatujafika unguja wale watu walisema wamefika na wakaanza kushusha mizigo wakiitosa ndani ya maji, watu wote tulishikwa na butwaa na mimi kiranga cha kudandia majahazi kiliisha siku hiyo..ila mwisho kabisa kulikuwa kuna pesa wanadaiwa ambayo waliahidi kuimalizia watakapo fika safari yao......nakumbuka kauli yao ya mwisho ilikuwa ni hii .....sisi si watu wa dhulma, mteueni mmoja wenu afuatane nasi tukampatie kiasi kilichobakia....nahodha akajibu tunashukuru wala hatuwadai sisi nyie nendeni tuu kwa roho nyeupeee...hatukufika unguja..je kuna ambaye ashausikia huo mji ulio karibu na unguja?
Mkuu kwanini usingeshuka uongozane nao ukauone huo mji?
 
[emoji23] [emoji23] inatisha sana mzee,ila ni serious kweli mkuu??
naam kaka hii si kamba, na ndio maana sipendi kuizungumzia sana...manahodha wengi wa majahazi hili c jambo geni
 
Norshad bahari ina siri nyingi sana. Kwa sisi watu wa Pwani tunajua mengi ambayo mengine unaweza kusimulia ukadhani ni hadtihi za kubuni tu. Zanzibar kuna kisiwa ambacho hakiishi watu kabisa wanasema ni nchi kuu ya majini kwa mda mrefu sana.
 
naam kaka hii si kamba, na ndio maana sipendi kuizungumzia sana...manahodha wengi wa majahazi hili c jambo geni
Hao watu wanafanaje mkuu??ni binadanu wa kawaida??

Alafu waliingiaje??walianza kuogelea
 
Norshad bahari ina siri nyingi sana. Kwa sisi watu wa Pwani tunajua mengi ambayo mengine unaweza kusimulia ukadhani ni hadtihi za kubuni tu. Zanzibar kuna kisiwa ambacho hakiishi watu kabisa wanasema ni nchi kuu ya majini kwa mda mrefu sana.
Duuh!!natamani nifike hiko nikajionee
 
Hao watu wanafanaje mkuu??ni binadanu wa kawaida??

Alafu waliingiaje??walianza kuogelea
hawakuogelea mkuu, wale jamaa nakumbuka walikuwa na masikhara mengi, hata walipomwambia nahodha, hapa ndipo tulipokusudia tumefika, hakuna aliwasikiliza, waliporudia ndipo mishangao ikatawala na baada ya jahazi kusimama lenyewe..ndipo nahodha akauliza nyinyi ni akina nani, akajibiwa utafahamu utakapotufuata kumalizia kiasi chako cha pesa kilichobaki ama atakwambia mtu utayemteua kufuatana nasi tukamkabidhi....wakabeba sofa likarushiwa kwenye maji, likazama, mpaka yakaisha, kisha mifuko ya ngano, sukari na mabusati, lakini aliposhuka yule mwenye masikhara zaidi alisimama juu ya maji, hapo ndipo tumbo langu liliingia ubaridi na nikatafuta pa kujificha...watu wataftao rizki zao katika bahari hili ni jambo la kawaida na wanajua tulikosea wapi
 
hawakuogelea mkuu, wale jamaa nakumbuka walikuwa na masikhara mengi, hata walipomwambia nahodha, hapa ndipo tulipokusudia tumefika, hakuna aliwasikiliza, waliporudia ndipo mishangao ikatawala na baada ya jahazi kusimama lenyewe..ndipo nahodha akauliza nyinyi ni akina nani, akajibiwa utafahamu utakapotufuata kumalizia kiasi chako cha pesa kilichobaki ama atakwambia mtu utayemteua kufuatana nasi tukamkabidhi....wakabeba sofa likarushiwa kwenye maji, likazama, mpaka yakaisha, kisha mifuko ya ngano, sukari na mabusati, lakini aliposhuka yule mwenye masikhara zaidi alisimama juu ya maji, hapo ndipo tumbo langu liliingia ubaridi na nikatafuta pa kujificha...watu wataftao rizki zao katika bahari hili ni jambo la kawaida na wanajua tulikosea wapi
Duuh mkuu,inatisha sana...though natamani kushuhudia mambo kama hayo,nahisi labda ningepata ujasiri wa kuongea nao kidogo...means hao watakuwa majini kabisa
 
Back
Top Bottom