Ijue Mikoa 12 yenye Idadi kubwa ya vituo vya kutolea Huduma za Afya

Ijue Mikoa 12 yenye Idadi kubwa ya vituo vya kutolea Huduma za Afya

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Habari Wadau.

Mtu ni Afya,na hiyo Afya huimarishwa kwenye gereji zinazoitwa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya ambapo hujumuisha Hospitali za ngazi zote,Vituo vya Afya na Zahanati.

Kwa Tanzania ,Mikoa ambayo walau ina idadi inayoridhisha ya vituo vya Kutolea Huduma za Afya ni Ifuatavyo.

1. Dar 684
2. Morogoro 532
3. Mwanza 520
4. Tanga 498
5. Dodoma 497
6. Kilimanjaro 461
7. Pwani 444
8. Mbeya 443
9. Tabora 401
10. Ruvuma 382
11. Kagera 381
12. Mara 368..

Moja ya Mikoa ambayo Huwa Iko under rated na inafanya vizuri sana kwenye maeneo mbalimbali ni Tanga ,Pwani na Ruvuma..

Mikoa ya Mwisho yenye Huduma za Afya chini ya 300 kama kawaida ni hii ifuatayo,

Katavi
Songwe
Rukwa
Singida
Simiyu
Geita.


Screenshot_20230214-082827.jpg


Idadi ya watu Kwa Kila Mkoa [emoji116]View attachment 2524047View attachment 2524048
 
Habari Wadau.

Mtu ni Afya,na hiyo Afya huimarishwa kwenye gereji zinazoitwa Vituo vya Kutolea Huduma za Afya ambapo hujumuisha Hospitali za ngazi zote,Vituo vya Afya na Zahanati.

Kwa Tanzania ,Mikoa ambayo walau ina idadi inayoridhisha ya vituo vya Kutolea Huduma za Afya ni Ifuatavyo.

1. Dar 684
2. Morogoro 532
3. Mwanza 520
4. Tanga 498
5. Dodoma 497
6. Kilimanjaro 461
7. Pwani 444
8. Mbeya 443
9. Tabora 401
10. Ruvuma 382
11. Kagera 381
12. Mara 368..

Moja ya Mikoa ambayo Huwa Iko under rated na inafanya vizuri sana kwenye maeneo mbalimbali ni Tanga ,Pwani na Ruvuma..

Mikoa ya Mwisho yenye Huduma za Afya chini ya 300 kama kawaida ni hii ifuatayo,

Katavi
Songwe
Rukwa
Singida
Simiyu
Geita.


View attachment 2519131
Huko ndiko kuna maradhi mengi
 
Mtoa hoja naona kama unazijua vizuri taarifa za serikali. Unaweza kutuambia hapa sababu kuu za kuihamisha hospitali ya rufaa ya Kanda ya kati kutoka singida na kupeleka Dodoma? Au hoja yako imepanga kuianika serikali kwa kushindwa kujenga vituo vya kutosha kwenye mikoa uliyoorodhesha.
 
Mtoa hoja naona kama unazijua vizuri taarifa za serikali. Unaweza kutuambia hapa sababu kuu za kuihamisha hospitali ya rufaa ya Kanda ya kati kutoka singida na kupeleka Dodoma? Au hoja yako imepanga kuianika serikali kwa kushindwa kujenga vituo vya kutosha kwenye mikoa uliyoorodhesha.
Makao Makuu ya Nchi but Yale majengo ya hospital ya Singida yatakuwa ni hospital ya Rufaa ya Mkoa..

Nakumbuka JK ndio alianzisha ujenzi Hospital ya Kanda kuwa Singida.
 
Sasa hilo la kuihamisha kisa ni makao makuu ya Nchi, huoni kuwa kumedumaza maendeleo ambayo yangechangiwa na uwepo wa hiyo hospitali? Je huoni hasara kwa ujenzi ambao haukufikia malengo? Je hili nalo ni kosa la wanasingida kukosa hospitali.
 
Sasa hilo la kuihamisha kisa ni makao makuu ya Nchi, huoni kuwa kumedumaza maendeleo ambayo yangechangiwa na uwepo wa hiyo hospitali? Je huoni hasara kwa ujenzi ambao haukufikia malengo? Je hili nalo ni kosa la wanasingida kukosa hospitali.
Kilichohama ni hadhi sio majengo,we vipi? Singida ni Makao Makuu ya Nchi?
 
Back
Top Bottom