GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nikiwa kama Mtanzania ambaye nimewahi ama kupata bahati sana ya kutembelea karibu 98% ya Mikoa iliyopo nchini Tanzania nimegundua ya kwamba kuna Mikoa ambayo ukibahatika tu kuitembelea na kama huko huna Mtu unayemjua basi ikitokea tu ukaamua kwenda Kulala / Kumbonji Gesti au Loji basi jiandae kuwa mvumilivu wa Kuumwa na Kunguni kama siyo Kusumbuliwa mno na Panya na kila mara Kuzingirwa na Inzi.
Kwa kuanza kabisa nichukue fursa hii Kuipongeza hii Mikoa ifuatayo kwa kuwa na Gesti au Loji nzuri ambazo nimejaribu kwa juhudi zangu zote kutafuta Kunguni,Panya na Inzi huku na kule lakini sikubahatika kukutana nao hadi siku naondoka huko......
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba kwa bahati nzuri GENTAMYCINE sina Mkoa wowote ninaotoka hapo katika hiyo yote iliyotajwa kwa upande wa ile isiyo na Kunguni, Panya na Inzi wala ile ambayo inayo ila nadhani nitakuwa nimesaidia kuwatahadharisha wenyeji wa huko wachukue hatua za haraka mno.
Nawasilisha.
Kwa kuanza kabisa nichukue fursa hii Kuipongeza hii Mikoa ifuatayo kwa kuwa na Gesti au Loji nzuri ambazo nimejaribu kwa juhudi zangu zote kutafuta Kunguni,Panya na Inzi huku na kule lakini sikubahatika kukutana nao hadi siku naondoka huko......
- Arusha
- Mbeya
- Kilimanjaro
- Mara ( Musoma )
- Singida
- Kigoma
- Dodoma
- Kagera ( Bukoba )
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba kwa bahati nzuri GENTAMYCINE sina Mkoa wowote ninaotoka hapo katika hiyo yote iliyotajwa kwa upande wa ile isiyo na Kunguni, Panya na Inzi wala ile ambayo inayo ila nadhani nitakuwa nimesaidia kuwatahadharisha wenyeji wa huko wachukue hatua za haraka mno.
Nawasilisha.