Uchaguzi 2020 Ijue mikoa ya ushindi kwa CCM

Uchaguzi 2020 Ijue mikoa ya ushindi kwa CCM

Ifuatayo ni mikoa inayombeba mgombea wa CCM kwa kura nyingi ambazo zinaenda kupatia ushindi mkubwa usiotarajiwa na washindani wake kwenye sanduku la kura.

Mikoa hii ni mikoa yenye idadi kubwa ya watu na ina maelfu wa wanachama wa CCM, hivyo kama vyama shindani hawakujikita huko mapema baada ya 2015 tu kuandaa members basi wajue hawana chao Oct 2020.

Mikoa hii ni ngome kubwa ya CCM, ni vigumu sana wakaazi wa mikoa hiyo kuwahamisha, lakini zaidi ni Magufuli.
1. DODOMA
2. TABORA
3. MWANZA
4. RUVUMA
5. SHINYANGA
6. GEITA
7. RUVUMA
8. MOROGORO
9. UNGUJA JUMLA
10. SIMIYU
11. TANGA
12. IRINGA
13. KATAVI
14. RUKWA

MIKOA ambayo haipo kwenye orodha hapo juu ni ile ya kugawana kura ambapo kura ndogo zitaongeza ujazo kwenye kura nyingi zitakazotoka kundi la mikoa iliyoorodheshwa juu.

Mikoa ya kugawana ni:

1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. MARA
4. LINDI
5. MTWARA
6. PEMBA JUMLA
7. MBEYA
8. SINGIDA
3. KIGOMA

Kura za mikoa hii haziwezi kumpa ushindi mpinzani yeyote kwa sababu kura nyingi watagawana na CCM.
MIKOA isiyojulikana na yenye vigeugeu ni:

1. DAR
2. MTWARA
3. KAGERA

KURA NI MAHESABU TU. KAMA VYAMA VYA UPINZANI HAWAKUFANYA MAGAZIJUTO MAPEMA, BASI WASITUMIE GHARAMA ZA MATUMIZI HAKIKA WATAPATA HASARA BURE.
Mmeshaiona mikoa ya mango'mbe safari hii yanaweza kuwageukia mpaka mshangae
 
Akifikisha hata 35% akatoe sadaka kea mizimu ya kwao
😂😂😂Yaani Huwa Nafurahi Kwa Ulevi Weñu wa kujipa matumaini yasiyopo😁😁....

Hamtaki Kukumbuka....
Hamtaki Kukumbushwa.....
Hamtaki Kujifunza......

Alikuwa Lowassa na Maguvu yake ya kila namna,Sembuse Tundu Lissu na hoja yake moja ya SHAMBULIZI MWILINI MWAKE?!!!

Haya wakati ni ukuta....
 
Naona RUVUMA umeiandika mara mbili ili ionekane CCM ina mikoa mingi. By the way mikoa ya, RUVUMA, UNGUJA, TABORA Itakwenda upinzani

RUVUMA sababu ya Korosho
UNGUJA / Zanzibar nzima ni kambi ya maalim, itampa mtu yeyote ambaye Maalim ataendorse

TABORA, ngome ya CUF ya Zamani sasa hivi ni ngome ya ACT. Kwa hiyo itakwenda kwa mgombea ambaye ACT itamuunga mkono.

Wapinzani watachukua
1. Mbeya (Always upinzani huko)
2. Singida (kwa Lissu)
3. Mara (Ni ngome ya upinzani)
4. Arusha (Ngome ya Chadema)
5. Kilimanjaro (Ngome ya Chadema)
6. Dar es salam (Waelewa, Upinzani una ushawishi mkubwa)
7. Lindi (Korosho)
8. Mtwara (Korosho)
9. Kigoma (Kwa mwami Zitto)
10. Pemba (Kwa Maalim)
11. Kagera (Mishandling ya tetemeko)
12. Manyara (Ni ngome ya Chadema)
13. Iringa (Nguvu ya upinzani ni. kubwa)
14. Ruvuma (Korosho)
15. Tabora (Ngome ya zamani ya CUF, Sasa hivi ACT ina nguvu huko)

Mikoa ambayo CCM atashinda
1. Morogoro
2. Pwani
3. Rukwa
4. Mwanza
5. Geita
6. Dodoma

Mikoa watakayochuana vikali na kugawana kura sana ni

1. Songea
2. Shinyanga

Kwa kweli sioni ni kwa namna gani CCM anatoboa this time
Mkuu Manyara ni ngome ya Chadema tangia lini?? Kuna wabunge wangapi wa CDM waliopigiwa kura huko Manyara ukilinganisha na wa CCM??

Alafu pia, Ruvuma Korosho ipo Tunduru tu. Huko kwingine wala hawaijui Korosho.. Huko kwingine unaweza ukawa sawa..
 
😂😂😂Yaani Huwa Nafurahi Kwa Ulevi Weñu wa kujipa matumaini yasiyopo😁😁....

Hamtaki Kukumbuka....
Hamtaki Kukumbushwa.....
Hamtaki Kujifunza......

Alikuwa Lowassa na Maguvu yake ya kila namna,Sembuse Tundu Lissu na hoja yake moja ya SHAMBULIZI MWILINI MWAKE?!!!

Haya wakati ni ukuta....
Labda unielimishe; hivi Lowassa alikuwa na nguvu gani? Au zilikuwa nguvu za soda tu..

Nakumbuka alisema ataipasua CCM katikati, najaribu kujiuliza hapa hivi ni viongozi gani waandamizi (wazito) wa CCM ambao Lowassa alihama nao??

Lowassa was nothing; hizo kura 6m alizikuta hukohuko upinzani...
 
Ni kweli kabisa,na Kampeni ni lazima ufuate Sayansi...Mikoa ya Ziwa ina utitiri wa watu vijijini ambao hata matumizi y Choo kwao Ni kitendawili...wao kofia na T-shirt inatosha kabisa kumuweka Duniani!
Hii Ni ngome kuu ya wa watu fulani...na ukizingatia Ubagoshaaa! Kuna kazi kule!
Bahati nzuri kwa upinzani unakibalika miongoni mws wasomi, vijana na wajanja fulani...Hawa wengi wapo mijini...kutokana na vijiji fulani kugeuka kuwa vimiji,kwetu Karagwe tunauita Sentani' hapo Kuna kura za upinzani!
Na kwa mwelekeo huu ,ambapo pia Chama Tawala kimewekeza kwenye ,ukale,ujinga na mabavu.Bahati mbaya sana kwao kizazi kinachomaintain' status quo ya ukale ...TAA,TANU ,CCM ,NYEREREISMs kina potea kinapitea Kama Dinassours ...huu Ni msiba kwa CCM!Kwa hiyo
bila hata kuangalia uchaguzi wa Mwaka huu, CCM inapoteza waachama wake wa damu by default[emoji23]..
Na Kama itatokea Awamu ya Tano ikaendelea [emoji30][emoji30] na wakawepo pale ,Polepole, Bashiru, na vile vikuu vya Mikoa fulani CCM utakuwa inajimomomnyoa' yenyewe!
Dalili hizi Ni wazi...na hivi Ni Viashiria...Mwaka huu kwa Mara ya kwanza mgombea wa upinzani Ni mpinzani🤗🤗! ;Nguvu kubwa iliyotumika kuua upinzani kwa miaka 5 haijazaa matunda;Dhana ya upinzani imeanza kujibainisha zaidi kifikra,hii Ni hatarikubwa kwa Chama chenye asili ya Ukomunisti!
Vindakiki,wafurukutwa na wakereketwa hamuwezi elewa Sayansi hii!
Magufuli for 20
 
Lakini Sayansi ya Siasa inaweza badilishwa pia na kudra na Bahati! Au tukio ambako halikutarajiwa katika mazingira ya kawaida!
Tukio la ukatili alilofanyiwa Tundu Lissu litaibadilusha nchi hii! Iwe leo,kesho,kesho kutwa au mtondogoo !
Sio rahisi maana TL alishakuwa branded ntu mbaya ka Savimbi hadi vijijini wanamfahamu hivyo
 
Hakuna mkoa ambao upinzani utashinda Lisu anakwenda kupitwa na Hashimu Rungwe
 
Labda unielimishe; hivi Lowassa alikuwa na nguvu gani? Au zilikuwa nguvu za soda tu..

Nakumbuka alisema ataipasua CCM katikati, najaribu kujiuliza hapa hivi ni viongozi gani waandamizi (wazito) wa CCM ambao Lowassa alihama nao??

Lowassa was nothing; hizo kura 6m alizikuta hukohuko upinzani...
Mkuu Wangu Kwa Hiyo Ulitaka Lowassa ahame na marehemu mzee Mkapa,Mwinyi,Warioba,Malecela et al?!!

Mbona Sumaye Waziri Mkuu Kwa Miaka 10 mfululizo naye alikwenda CDM...

Unataka kuniambia Lowassa hakupigiwa KURA na wafuasi wake Kindakindaki waliobakia CCM?!!!

Unataka kusema kina Matson Chizii,Mgeja na heavy weights wengine hawakuhamia CDM?!!!
Je katika wafuasi wao ambao hawakuunga ULIKO TUKO,na kubaki CCM walikosekana waliomchagua Lowassa?!!!!

Labda unatafsiri nyingine kuwa kiongozi mzito ni PM,wastaafu MaPM,na kupanda Juu...

We'll japo haihusiani,hv MEMBE si kiongozi mzito?!!
 
Karne hii kuongozwa na CCM wakati tulishaachana na mataipuraita masimu ya mkononi ya jeneza Yale ya kukoroga yalishapitwa na muda kitambo cc bado tuko na maccm lichama la Karne ya 19 huko hili c Jambo la kujivunia ni mkwamo wa kijamii Leo hii Nani anavaa klimprin au kutumia kamera za Kodak au yashika Yale ya zamani CCM should be crapped coz wameshindwa kuendana na wakati bado wanaitawala nchi ki Karne ya 18 unlikely kwamfano Democrats na Republicans ambao Wana miaka Mia mbili lakini wameendana na muda kwa kadri Jamii inavyobadilika so wanaabsorb mabadiliko CCM sio hivyo yenyewe inaongozwa kizamani ukiwapinga unapotezwa Mambo gani hayo ya Karne za pirating!
Kwa maandishi yako ya kashifa jiandae kuwafuata wenzako unaosema walipotezwa kama ni kweli JIHADHALI WAKATI WOWOTE TUNAKULA KICHWA MAANA UNATUTUKANA WAKATI UNAJUA MUZIKI WETU NI KULA VICHWA VYA WAJINGA KAMA WEWE HILO MOJA . PILI CHINA INACHAMA KIMOJA KABLA MZAZI WAKO HAJAZALIWA LAKINI NDIO TISHIO LA UCHUMI KWA HAO RAFIKI ZAKO DEMOCRATICS NA REPUBLICAN UPOOOOO?
 
Acha kudanganya wewe mikoa kama simiyu, shinyanga sio ya ushindi wa ccm hata Sikh moja Mimi in mzaliwa wa huku na ninaishi huku usidanganye wadanganye wajinga wenzio mnaopigana mitama kwa utovu wa nidham kwenye majukwaa ya kisanii.
Kwani mimi siishi mikoa hiyo? kwani Mimi sitembelei mikoa hiyo! uli nyoo shi?
 
Lowasa alishinda ule uchaguzi. Tulimwomba Mungu E.L asihamasishe wapiga kura wake kuingia barabarani (maana kungetokea umwagaji damu) Mungu akatujibu maombi yetu, amani ikaendelea kuwepo ili tumwabudu Mungu wetu kwa uhuru.


JESUS IS LORD!
Mnafiki wa kidini wee.....

Eti Lowassa Alishinda....

Mnapenda kusema UONGO huku mmejificha katika VICHAKA vya dini eeee?!!!

Acha kupotosha kizwazwa...
 
Nchi nzima Hali ya wengi ni ngumu kimaisha sababu ya sera mbovu za kuwasomesha watz namba ili wawe masikini ili watawaliwe kirahisi.
Ujaona wasanii Jana wamejazana wanafanya ibada za kusifu sababu ya njaa
Mkuu ni wewe tu una hali ngumu, mie namalizia jengo la lodge hapa ili mwezi ujao niifungue, Karibu utumikie ndugu
 
Back
Top Bottom