Ijue nchi ya Cambodia

cna uhakika 100% kwa hilo but nachojua kitabu cha The Monk who sold his ferrari ni kizuri sana kiasi cha kumfanya msomaji akaona thamani ya maisha yake...coz jamaa kaelezea vitu vingi sana
Ni kweli..
 
Wakati nikiwa kidato cha pili nliwahi kusoma kitabu flani kuhusu Khmer regime.

Nilitia nia kwamba ni lazima nifike Cambodia maishani mwangu. Katika harakati zangu za kula bata, nilifanikiwa kufika Cambodia mwishoni mwa mwaka 2018.

Nlijifunza mengi na kuona mengi, ntarudi ku-share nanyi.

Angkor wat is real.

 
Ahsante mkuu kwa elimu nzuri,naomba kufahamu nchi zilizopo maeneo ya Gabon,afrika ya kati,na Guinea zote zile hasa maeneo hayo,hasa wananchi idadi yao na tamaduni na maendeleo yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…