1) Nchi ya Ugiriki/ Uyunani inapatikana upande Kusini Mashariki mwa bara ka Ulaya. Nchi hii imepakana na nchi ya Albania, Macedonia Kaskazini, Uturuki na Bulgaria na pia imepakana na bahari ya Mediteranea
2) Nchi ya ugiriki ulipata uhuru wake mwaka 1821. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2017 ina watu milion 10. Mji Mkuu wa nchi hii unaitwa Athens. Na asilimia kubwa ya ardhi ya nchi hii ni milima.
3) Kauli mbiu ya nchi hii ni "UHURU AU UMAUTI"
4) Ugiriki ndio nchi ya kwanza kuanzisha mfumo wa demokrasia kwa kuruhusu watu kupiga kura. Mfumo huo ulianzishwa tokea karne ya 5 kuchagua viongozi. Japo kuwa mfumo huu uliruhusu watu wachache ambao ni lazima awe Mwanaume na awe mtu mzima. Kwa hiyo Wanawake, watumwa na wageni hawakuruhusiwa kupiga kura
5) Ugiriki ndio nchi inayoongoza duniani kwa raia wake kufanya mapenzi sana. Yaani namba moja ugiriki ikifuatiwa na Brazil
6) Lugha ya Kigiriki ndio lugha kongwe zaidi duniani inayoandikwa ambayo bado inatumika. Ni kweli huwezi kuzitaja lugha kongwe dunia bila kuitaja lugha ya Kigiriki. Lugha hii ya Kigiriki imetumika zaidi ya miaka 5,000 iliyopita lakini bado inatumika hadi leo katika maandishi
7) Jina halisi la Ugiriki ni UYUNANI kwa hivyo Ugiriki sio jina halisi la nchi ya Ugiriki
8) Michezo ya olimpiki ilianzia nchini Ugiriki
9) Neno 'Music" limetokana na neno jina Muses ambalo ni jina la Mungu wa sanaa katika imani za Wagiriki
10) Watalii wanaotembelea nchi ya Ugiriki kwa mwaka ni wengi kuliko Raia wenyewe. Raia wa Ugiriki ni Million 10 lakini kwa mwaka wanapokea Watalii Milioni 16
11) Raia wa ugiriki ni lazima kupiga kura wala sio hiyari
12) Ugiriki ni miongoni mwa nchi zinazozalisha mafuta ya mzeituni kwa wingina kuna mizeituni iliyopandwa tokea karne ta 13 hadi leo bado inatumika kuzalisha mafuta
13) Mji Mkuu wa Ugiriki ndio Mji mkongwe zaidi Ulaya ulianza kukaliwa na watu miaka 7000 iliyopita na ndio kitovu cha ustaarabu wa Ulaya, Siasa, Falsafa, Michezo, Hesabu, Fasihi, Historia na nadharia mbali mbali
14) Ugiriki ina visiwa zaidi ya 2000 lakini ni visiwa 170 tu ndio vinakaliwa na watu
15) Hadi kufikia miaka ya 1990 bado mpinzani mkubwa wa nchi ya Ugiriki alikuwa ni Uturuki. Nchi hizi zilikuwa kwenye maelewano mabaya kwa miaka mingi sana. Mwaka 1999 kulitokea tetemeko la ardhi na nchi hizi zikasaidiana na hapo ndipo uhusiano wa nchi hizi mbili ukaimarika
16) Ukiwa Ugiriki usimsalimie mtu kwa kumpungia mkono huku kiganja chako ukiwa umekichanua hiyo ni ishara ya matusi bali kunja mkono ndio umpungie
17) Archimedes, Pythagoras, Apollonius, Euclid wote hawa ni Raia wa Ugiriki
18) Kama ulikuwa hujui Ugiriki ilishawahi kuitawala Ufaransa, Urusi na Uturuki
19) Alexandra The Great Ndio kiongozi wa kwanza wa Kigiriki kuweka sura yake kwenye sarafu ya Ugiriki. Kabla ya hapo waliweka sura ya miungu yao
20) Nchi ya Ugiriki ndio ina kiwango kidogo cha talaka Barani ulaya na pia ndio nchi yenye kiwango kikubwa cha utoaji mimba kwa Bara la Ulaya
21) Asilimia 10 ya Wagiriki hawana ajira. Hata kama umepiga kitabu ni ngumu kupata ajira
22) Asilimia 7 ya marumaru duniani inatokea Ugiriki
23) Hadi mwaka 1950 ni asilimia 30 tu ya Wagiriki ndio walikuwa wamesoma lakini kwa sasa ni asilimia 95 ya Wagiriki wamesoma
24) Mpira wa miguu ndio mchezo wa Taifa katika nchi ya Ugiriki
25) Ugiriki ndio nchi ya kwanza kutengeneza majalala ya manispaa hayo yakifanyika miaka 500 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO
2) Nchi ya ugiriki ulipata uhuru wake mwaka 1821. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2017 ina watu milion 10. Mji Mkuu wa nchi hii unaitwa Athens. Na asilimia kubwa ya ardhi ya nchi hii ni milima.
3) Kauli mbiu ya nchi hii ni "UHURU AU UMAUTI"
4) Ugiriki ndio nchi ya kwanza kuanzisha mfumo wa demokrasia kwa kuruhusu watu kupiga kura. Mfumo huo ulianzishwa tokea karne ya 5 kuchagua viongozi. Japo kuwa mfumo huu uliruhusu watu wachache ambao ni lazima awe Mwanaume na awe mtu mzima. Kwa hiyo Wanawake, watumwa na wageni hawakuruhusiwa kupiga kura
5) Ugiriki ndio nchi inayoongoza duniani kwa raia wake kufanya mapenzi sana. Yaani namba moja ugiriki ikifuatiwa na Brazil
6) Lugha ya Kigiriki ndio lugha kongwe zaidi duniani inayoandikwa ambayo bado inatumika. Ni kweli huwezi kuzitaja lugha kongwe dunia bila kuitaja lugha ya Kigiriki. Lugha hii ya Kigiriki imetumika zaidi ya miaka 5,000 iliyopita lakini bado inatumika hadi leo katika maandishi
7) Jina halisi la Ugiriki ni UYUNANI kwa hivyo Ugiriki sio jina halisi la nchi ya Ugiriki
8) Michezo ya olimpiki ilianzia nchini Ugiriki
9) Neno 'Music" limetokana na neno jina Muses ambalo ni jina la Mungu wa sanaa katika imani za Wagiriki
10) Watalii wanaotembelea nchi ya Ugiriki kwa mwaka ni wengi kuliko Raia wenyewe. Raia wa Ugiriki ni Million 10 lakini kwa mwaka wanapokea Watalii Milioni 16
11) Raia wa ugiriki ni lazima kupiga kura wala sio hiyari
12) Ugiriki ni miongoni mwa nchi zinazozalisha mafuta ya mzeituni kwa wingina kuna mizeituni iliyopandwa tokea karne ta 13 hadi leo bado inatumika kuzalisha mafuta
13) Mji Mkuu wa Ugiriki ndio Mji mkongwe zaidi Ulaya ulianza kukaliwa na watu miaka 7000 iliyopita na ndio kitovu cha ustaarabu wa Ulaya, Siasa, Falsafa, Michezo, Hesabu, Fasihi, Historia na nadharia mbali mbali
14) Ugiriki ina visiwa zaidi ya 2000 lakini ni visiwa 170 tu ndio vinakaliwa na watu
15) Hadi kufikia miaka ya 1990 bado mpinzani mkubwa wa nchi ya Ugiriki alikuwa ni Uturuki. Nchi hizi zilikuwa kwenye maelewano mabaya kwa miaka mingi sana. Mwaka 1999 kulitokea tetemeko la ardhi na nchi hizi zikasaidiana na hapo ndipo uhusiano wa nchi hizi mbili ukaimarika
16) Ukiwa Ugiriki usimsalimie mtu kwa kumpungia mkono huku kiganja chako ukiwa umekichanua hiyo ni ishara ya matusi bali kunja mkono ndio umpungie
17) Archimedes, Pythagoras, Apollonius, Euclid wote hawa ni Raia wa Ugiriki
18) Kama ulikuwa hujui Ugiriki ilishawahi kuitawala Ufaransa, Urusi na Uturuki
19) Alexandra The Great Ndio kiongozi wa kwanza wa Kigiriki kuweka sura yake kwenye sarafu ya Ugiriki. Kabla ya hapo waliweka sura ya miungu yao
20) Nchi ya Ugiriki ndio ina kiwango kidogo cha talaka Barani ulaya na pia ndio nchi yenye kiwango kikubwa cha utoaji mimba kwa Bara la Ulaya
21) Asilimia 10 ya Wagiriki hawana ajira. Hata kama umepiga kitabu ni ngumu kupata ajira
22) Asilimia 7 ya marumaru duniani inatokea Ugiriki
23) Hadi mwaka 1950 ni asilimia 30 tu ya Wagiriki ndio walikuwa wamesoma lakini kwa sasa ni asilimia 95 ya Wagiriki wamesoma
24) Mpira wa miguu ndio mchezo wa Taifa katika nchi ya Ugiriki
25) Ugiriki ndio nchi ya kwanza kutengeneza majalala ya manispaa hayo yakifanyika miaka 500 kabla ya kuzaliwa YESU KRISTO