Ijue nchi ya Ugiriki/ Uyunani (Mama wa nchi za Ulaya)

Ijue nchi ya Ugiriki/ Uyunani (Mama wa nchi za Ulaya)

Hivi ni nini maana ya [emoji117]Meli ya Mgiriki??

Huu umaarufu wa hili jina la [emoji117]Meli ya Mgiriki ulitokana na nini??

Anae jua naomba atusaidie.
View attachment 1347670
Ifahamike kuwa meli za Kigiriki ndizo zenye historia za matukio ya kikatiri zaidi, yaani asilimia kubwa wazamiaji walikuwa wakidandia kwenda Ulaya, basi wakikukuta hawa jamaaa, watakupa chakula, utawasaidia kazi lakini mwisho wa siku watakuacha majini au kukuua.
 
Ina watoto wakali sana hasa mkoa wa Thrace uliopakana na Uturuki. Yani utitiri wa papuchi uliozaga wewe ni kuokota tu plenty of eligible puseeys scattered its upon you to pick.

Pia mji wa Dedropotumus ambapo kuna papuchi za kumwaga yani utitiri maamaee
huko nakwenda very soon....
 
Mkuu imekuaje uyo Alexandra atoe picha za miungu yao?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mambo aliyoyafanya Alexandra no makubwa kufikia hao miungu ya Ugiriki. Maana huyo ndio kiongozi w kwanza kutoka ulaya ambaye alifanya sera za upanuzi ambapo alikuja kutaWala hadi Afrika.

Nilipata habari zake nilipotembelea Misri miaka ya 2014. Na kuna mji hapo Misri unaitwa Alexandra !!!!!

So huko Ugiriki Alexandra ni kama nyerere kwa Tanzania.
 
Ina watoto wakali sana hasa mkoa wa Thrace uliopakana na Uturuki. Yani utitiri wa papuchi uliozaga wewe ni kuokota tu plenty of eligible puseeys scattered its upon you to pick.

Pia mji wa Dedropotumus ambapo kuna papuchi za kumwaga yani utitiri maamaee
Swali: Je, wana chura? Kama hawana basi RED CARD
 
Hivi ni nini maana ya [emoji117]Meli ya Mgiriki??

Huu umaarufu wa hili jina la [emoji117]Meli ya Mgiriki ulitokana na nini??

Anae jua naomba atusaidie.
View attachment 1347670
KUCHOMA MELI MOTO,

The ancient Greek warriors ni moja kati ya Majeshi yaliyo yanapambana kwa nguvu zote katika historia ya Majeshi ya Enzi Hizo, Na hii si kutokana na walivyo fundishwa au Silaha walizo kuwa nazo, no ni kutokana na Commitment yao ya Kushinda Vita waliyo kuwa nayo.

Wagiriki walivyo kuwa wakifika Pwani ya Maadui wao Cha kwanza ambacho Kamanda wao alikuwa akiwaamulisha wanajeshi wafanye ni Kuchoma Meli zote zilizo wafikisha pale, Na wanajeshi kwa Pamoja walikuwa wakichoma Meli zote Moto, MESSAGE HAPA ILIKUWA NI CLEAR KABISA,

1. There was no Turning Back
2. There was no retreat
3. No surrender
The only way out was Forward, Na ni Victory or Death, na hakuna outcome nyingine zaidi ya hizo Mbili za Kushinda Vita au Kuuwawa. Na hii stail iliwahi kutumiwa na Wamexco katika vita miaka ya 1500 Wanajeshi wa Kigiriki walivyo kuwa wakiona Meli zao zikiwaka Moto walikuwa wanaogopa sana na wanajua kabisa hakuna Kurudi Nyuma, hakuna kujisalimisha, ila kazi ni Moja tu kushinda Vita, Katika Maisha tunahitaji kufanya kila liwezekanalo kufanya maamuzi ambayo ni sahihi kabisa, hatuwezi kuwa sahihi muda wote lakini ukifanya analysisi utagundua hakuna kisicho wezekana. Ila tumekuwa tukikutana na vikwanzo vingi sana vinavyo tufanya Safari yetu isifike popote pale
1. Vikwazo kutoka kwa Familia yako
2. Marafiki
3. Ndugu jamaa na Marafiki
4. Wafanya kazi wenzako
5. Uoga wa hali ya Juu.
 
bigmukolo,
Wana Falsafa maarufu sana duniani kama vile Plato, Socrates na Aristotle nao pia ni wagiriki. Nadhani Ugiriki inaweza kuwa ndiyo nchi inayongoza kwa kuwa na wana Falsafa wakongwe (Ancient Philosophers) wengi zaidi duniani
 
Hawa wamiliki wa hii jukwaa wana ujinga fulani, kupiga ban story kali na tamu
Mkuu mgerasi inakuwaje. Nilishaletaga thread ya Ugiriki humu kwenye ile id yangu ya Copenhagen dn iliyopewa life ban. Ilikuwa 2015. Nilileta nilivyotembelea mji wa Patra Greece nakumbuka barafu naye aliongezea nondo kali kwenye huo uzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposifia mwanamke kwani mpaka utukane kutuaminisha?

Una kisebusebu sana na hili neno 'mamaaee' eti?

Maana kila kona umelitumia, ambapo wewe ni mtu mzima kwa sasa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee chalii yangu Inakuwaje? Usichukulie sana issues seriously humu jamvini. Nisamehe sana mkuu kama nimekukwaza.

Aminia
 
Back
Top Bottom