Ijue njia utakayotumia kupaa (Kwenda against Gravitational Force)

Unachekesha sana aisee,
Hata ufanyeje katika hali ya kawaida huwezi kupaa kamwe,
Labda uwe mchawi
 
Ili tupae, tupite njia ya Yesu.
 
Mmmh inamaana kama huna hiyo nguvu yakupaa huwezi kuyashida ya dunia? Kama ni hivyo basi Kumbe yesu pekee ndo alishinda na Elia, sisi wengine tutashinda kwa neema tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…